Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Kutengeneza folder:
Katika programming folda linaitwa directory. Hivyo ili tuweze kutengeneza directory tutatumia function ya Directort() function hii tutaweka jina la directory kama argument yake. Kisha tutatumia method ya crete(). Mfano tunakwenda kutengeneza folda tunatakaloliita data.
import 'dart:io';
void main(){
Directory('data').create();
}
Kutengeneza faili na kuweka data
Hapa tutatengeneza faili kwenye folda letu tuliotengeneza hapo juu. Ili kutengeneza faili tutatumia function ya File() ambapo jina la faili na jina la folda utaweka ndani kama argument.
Kwanza tutatengeneza variable yetu. Kenyr data type yake weka File
Mfano variable nitaiita faili_letu
File file_letu = File('data/tile.txt');
Kisha tutatumia function ya writeAsStringSync() kuungiza data kwenye faili letu. Ndani ya function hiyo ndipo utaweka data kama argument. Mfano faili letu litakuwa na data hizi
Karibu Bongoclass
Upate kujifunza mengi
Bila malipo
import 'dart:io';
void main(){
File file_letu = File('data/tile.txt');
file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');
print('faili limetengenezwa');
}
Sio lazima kuweka folda hapo, unaweza kutengeneza faili popote pale. Mfano faili letu tunakwenda kuliweka pamoja na orodha nyingine za mafaili kwenye root folder
import 'dart:io';
void main(){
File file_letu = File('tile.txt');
file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');
print('faili limetengenezwa');
}
Pia tunaweza kutumia input data. Sasa hapa tutakwend akutumia mode: FileMode.append
Kwa ajili ya kusubiria loop. Tunakwenda kutumia loop kwa ajili ya kuingiza majina ya wanafunzi watatu. Watakapotimia watatu ukibofya enter ndipo faili litatengenezwa. Kufanya hivi ndipo tutatumia ap...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...