picha

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Kutengeneza folder:

Katika programming folda linaitwa directory. Hivyo ili tuweze kutengeneza directory tutatumia function ya Directort() function hii tutaweka jina la directory kama argument yake. Kisha tutatumia method ya crete(). Mfano tunakwenda kutengeneza folda tunatakaloliita data.

import 'dart:io';

void main(){

 Directory('data').create();

}

 

Kutengeneza faili na kuweka data

Hapa tutatengeneza faili kwenye folda letu tuliotengeneza hapo juu. Ili kutengeneza faili tutatumia function ya File() ambapo jina la faili na jina la folda utaweka ndani kama argument.

 

Kwanza tutatengeneza variable yetu. Kenyr data type yake weka File

Mfano variable nitaiita faili_letu

File file_letu = File('data/tile.txt');

 

Kisha tutatumia function ya  writeAsStringSync()      kuungiza data kwenye faili letu. Ndani ya function hiyo ndipo utaweka data kama argument. Mfano faili letu litakuwa na data hizi

Karibu Bongoclass

Upate kujifunza mengi

Bila malipo

 

import 'dart:io';

void main(){

 File file_letu = File('data/tile.txt');

 file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');

print('faili limetengenezwa');

}

 

Sio lazima kuweka folda hapo, unaweza kutengeneza faili popote pale. Mfano faili letu tunakwenda kuliweka pamoja na orodha nyingine za mafaili kwenye root folder

import 'dart:io';

void main(){

 File file_letu = File('tile.txt');

 file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');

print('faili limetengenezwa');

}


 

Pia tunaweza kutumia input data. Sasa hapa tutakwend akutumia mode: FileMode.append

Kwa ajili ya kusubiria loop. Tunakwenda kutumia loop kwa ajili ya kuingiza majina ya wanafunzi watatu. Watakapotimia watatu ukibofya enter ndipo faili litatengenezwa. Kufanya hivi ndipo tutatumia ap...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1152

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 ai web app     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...