Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Kutengeneza folder:
Katika programming folda linaitwa directory. Hivyo ili tuweze kutengeneza directory tutatumia function ya Directort() function hii tutaweka jina la directory kama argument yake. Kisha tutatumia method ya crete(). Mfano tunakwenda kutengeneza folda tunatakaloliita data.
import 'dart:io';
void main(){
Directory('data').create();
}
Kutengeneza faili na kuweka data
Hapa tutatengeneza faili kwenye folda letu tuliotengeneza hapo juu. Ili kutengeneza faili tutatumia function ya File() ambapo jina la faili na jina la folda utaweka ndani kama argument.
Kwanza tutatengeneza variable yetu. Kenyr data type yake weka File
Mfano variable nitaiita faili_letu
File file_letu = File('data/tile.txt');
Kisha tutatumia function ya writeAsStringSync() kuungiza data kwenye faili letu. Ndani ya function hiyo ndipo utaweka data kama argument. Mfano faili letu litakuwa na data hizi
Karibu Bongoclass
Upate kujifunza mengi
Bila malipo
import 'dart:io';
void main(){
File file_letu = File('data/tile.txt');
file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');
print('faili limetengenezwa');
}
Sio lazima kuweka folda hapo, unaweza kutengeneza faili popote pale. Mfano faili letu tunakwenda kuliweka pamoja na orodha nyingine za mafaili kwenye root folder
import 'dart:io';
void main(){
File file_letu = File('tile.txt');
file_letu.writeAsStringSync('Karibu Bongoclass Upate kujifunza mengi Bila malipo');
print('faili limetengenezwa');
}
Pia tunaweza kutumia input data. Sasa hapa tutakwend akutumia mode: FileMode.append
Kwa ajili ya kusubiria loop. T">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...