image

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

PROJECT YA CRUDE OPERATION KWA KUTUMIA OOP

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. 

 

CRUDE ki kifupisho cha maneno CREATE, READ, UPDATE, DELETE. haya ni matendo muhimu manne kwenye database. Ili uweze kutumia database ni azima uyajuwe matendo haya. Code za project hii pia unawez akuzi download kwenye maktaba yetu hapa


 

Create hii inahusika na kuingiza taarifa kwenye database. Ni sawa na kutumia neno INSERT kama linavyotumika kwenye sql.

Read hii inahusika na kusoma data wenye database

Update hii inahusika na ku edit taarifa, yaani kuziboresha ama kuzibadili. Ni sawa na kutumia neno UPDATE kwenye sql.

 

Delete hii inahusika na kufuta taarifa kwenye data kwenye database. Ni sawa na kutumia DELETE kwenye sql.

 

Sasa katika project hii nimekuandalia matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani. Sasa tunakwenda kutumia OOP ili kuweza ku access database ili tuweze kufanya matendo hayo matatu yalotaja.

 

Database yetu nimeiita matokeo na table yenye wanafunzi nimeiita majibu. Table ina column tatu ambazo ni id, jina, alama. Id ni primary key na ni auto increment column. Project yetu ina mafaili 6 ambayo ni:-

  1. read.php
  2. edit.php 
  3. delete.php
  4. add.php
  5. Wanafuzi_class.php
  6. style.css


 

Database:

Unaweza kutengeneza database kwa maelezo niliokupa hapo awali amba pia unaweza ku run code hizo hapo chini za sql ili kutengeneza table na kuweka baadhi ya data. Hakikisha uwe umeshatengeneza database yenye jina matokeo:

CREATE TABLE `majibu` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `jina` varchar(255) NOT NULL,

  `alama` int(11) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;


 

INSERT INTO `majibu` (`id`, `jina`, `alama`) VALUES

(1, 'Jumanya', 50),

(2, 'Halima', 32),

(3, 'Daudi', 26),

(4, 'Saidi', 28),

(6, 'kasimu', 32),

(7, 'John ', 40),

(19, 'kwaya', 26);

ALTER TABLE `majibu`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `majibu`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

wanafunzi_class.php

Tengeneza faili kisha liiite wanafunzi_class.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

class wanafunzi

{

   private $host = 'localhost';

   private $username = 'root';

   private $password = '';

   private $database = 'matokeo';

   public $db;

   public function __construct()

   {

       if (!isset($this->db)) {

           try {

               $this->db = new mysqli($this->host, $this->username, $this->password, $this->database);

           } catch (Exception $e) {

               $error = $e->getMessage();

               echo $error;

           }

       }

   }

   public function majina_ya_wanafunzi()

   {

       $select = "SELECT * FROM `majibu`";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function to_be_edited($pupil_id)

   {

       $pupil_id = mysqli_real_escape_string($this->db, $pupil_id);

       $select = "SELECT * FROM `majibu` where id = $pupil_id";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function insertData($jina, $matokeo)

   {

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $insert = "INSERT INTO `majibu` (`jina`, `alama`) VALUES ('$jina', '$matokeo')";

       $result = mysqli_query($this->db, $insert);

       return $result;

   }

   public function editData($id, $jina, $matokeo)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $update = "UPDATE `majibu` SET `jina`='$jina', `alama`='$matokeo' WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $update);

       return $result;

   }

   public function deleteData($id)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $delete = "delete from majibu WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $delete);

       return $result;

   }

}

$db = new wanafunzi();


 

read.php

Tengeneza faili lenye jina read.php kisha pest code hizo hapo chini

 

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 209


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi Soma Zaidi...

PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting. Soma Zaidi...

PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili. Soma Zaidi...

PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...

PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Soma Zaidi...

PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Soma Zaidi...

PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP Soma Zaidi...

PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Soma Zaidi...