PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

Download Post hii hapa

PROJECT YA CRUDE OPERATION KWA KUTUMIA OOP

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. 

 

CRUDE ki kifupisho cha maneno CREATE, READ, UPDATE, DELETE. haya ni matendo muhimu manne kwenye database. Ili uweze kutumia database ni azima uyajuwe matendo haya. Code za project hii pia unawez akuzi download kwenye maktaba yetu hapa


 

Create hii inahusika na kuingiza taarifa kwenye database. Ni sawa na kutumia neno INSERT kama linavyotumika kwenye sql.

Read hii inahusika na kusoma data wenye database

Update hii inahusika na ku edit taarifa, yaani kuziboresha ama kuzibadili. Ni sawa na kutumia neno UPDATE kwenye sql.

 

Delete hii inahusika na kufuta taarifa kwenye data kwenye database. Ni sawa na kutumia DELETE kwenye sql.

 

Sasa katika project hii nimekuandalia matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani. Sasa tunakwenda kutumia OOP ili kuweza ku access database ili tuweze kufanya matendo hayo matatu yalotaja.

 

Database yetu nimeiita matokeo na table yenye wanafunzi nimeiita majibu. Table ina column tatu ambazo ni id, jina, alama. Id ni primary key na ni auto increment column. Project yetu ina mafaili 6 ambayo ni:-

  1. read.php
  2. edit.php 
  3. delete.php
  4. add.php
  5. Wanafuzi_class.php
  6. style.css


 

Database:

Unaweza kutengeneza database kwa maelezo niliokupa hapo awali amba pia unaweza ku run code hizo hapo chini za sql ili kutengeneza table na kuweka baadhi ya data. Hakikisha uwe umeshatengeneza database yenye jina matokeo:

CREATE TABLE `majibu` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `jina` varchar(255) NOT NULL,

  `alama` int(11) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;


 

INSERT INTO `majibu` (`id`, `jina`, `alama`) VALUES

(1, 'Jumanya', 50),

(2, 'Halima', 32),

(3, 'Daudi', 26),

(4, 'Saidi', 28),

(6, 'kasimu', 32),

(7, 'John ', 40),

(19, 'kwaya', 26);

ALTER TABLE `majibu`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `majibu`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

wanafunzi_class.php

Tengeneza faili kisha liiite wanafunzi_class.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

class wanafunzi

{

   private $host = 'localhost';

   private $username = 'root';

   private $password = '';

   private $database = 'matokeo';

   public $db;

   public function __construct()

   {

       if (!isset($this->db)) {

           try {

               $this->db = new mysqli($this->host, $this->username, $this->password, $this->database);

           } catch (Exception $e) {

               $error = $e->getMessage();

               echo $error;

           }

       }

   }

   public function majina_ya_wanafunzi()

   {

       $select = "SELECT * FROM `majibu`";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function to_be_edited($pupil_id)

   {

       $pupil_id = mysqli_real_escape_string($this->db, $pupil_id);

       $select = "SELECT * FROM `majibu` where id = $pupil_id";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function insertData($jina, $matokeo)

   {

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $insert = "INSERT INTO `majibu` (`jina`, `alama`) VALUES ('$jina', '$matokeo')";

       $result = mysqli_query($this->db, $insert);

       return $result;

   }

   public function editData($id, $jina, $matokeo)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $update = "UPDATE `majibu` SET `jina`='$jina', `alama`='$matokeo' WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $update);

       return $result;

   }

   public function deleteData($id)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $delete = "delete from majibu WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $delete);

       return $result;

   }

}

$db = new wanafunzi();


 

read.php

Tengeneza faili lenye jina read.php kisha pest code hizo hapo chini

 

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <titl">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 370

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...