picha

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

PROJECT YA CRUDE OPERATION KWA KUTUMIA OOP

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. 

 

CRUDE ki kifupisho cha maneno CREATE, READ, UPDATE, DELETE. haya ni matendo muhimu manne kwenye database. Ili uweze kutumia database ni azima uyajuwe matendo haya. Code za project hii pia unawez akuzi download kwenye maktaba yetu hapa


 

Create hii inahusika na kuingiza taarifa kwenye database. Ni sawa na kutumia neno INSERT kama linavyotumika kwenye sql.

Read hii inahusika na kusoma data wenye database

Update hii inahusika na ku edit taarifa, yaani kuziboresha ama kuzibadili. Ni sawa na kutumia neno UPDATE kwenye sql.

 

Delete hii inahusika na kufuta taarifa kwenye data kwenye database. Ni sawa na kutumia DELETE kwenye sql.

 

Sasa katika project hii nimekuandalia matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani. Sasa tunakwenda kutumia OOP ili kuweza ku access database ili tuweze kufanya matendo hayo matatu yalotaja.

 

Database yetu nimeiita matokeo na table yenye wanafunzi nimeiita majibu. Table ina column tatu ambazo ni id, jina, alama. Id ni primary key na ni auto increment column. Project yetu ina mafaili 6 ambayo ni:-

  1. read.php
  2. edit.php 
  3. delete.php
  4. add.php
  5. Wanafuzi_class.php
  6. style.css


 

Database:

Unaweza kutengeneza database kwa maelezo niliokupa hapo awali amba pia unaweza ku run code hizo hapo chini za sql ili kutengeneza table na kuweka baadhi ya data. Hakikisha uwe umeshatengeneza database yenye jina matokeo:

CREATE TABLE `majibu` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `jina` varchar(255) NOT NULL,

  `alama` int(11) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;


 

INSERT INTO `majibu` (`id`, `jina`, `alama`) VALUES

(1, 'Jumanya', 50),

(2, 'Halima', 32),

(3, 'Daudi', 26),

(4, 'Saidi', 28),

(6, 'kasimu', 32),

(7, 'John ', 40),

(19, 'kwaya', 26);

ALTER TABLE `majibu`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `majibu`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

wanafunzi_class.php

Tengeneza faili kisha liiite wanafunzi_class.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

class wanafunzi

{

   private $host = 'localhost';

   private $username = 'root';

   private $password = '';

   private $database = 'matokeo';

   public $db;

   public function __construct()

   {

       if (!isset($this->db)) {

           try {

               $this->db = new mysqli($this->host, $this->username, $this->password, $this->database);

           } catch (Exception $e) {

               $error = $e->getMessage();

               echo $error;

           }

       }

   }

   public function majina_ya_wanafunzi()

   {

       $select = "SELECT * FROM `majibu`";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function to_be_edited($pupil_id)

   {

       $pupil_id = mysqli_real_escape_string($this->db, $pupil_id);

       $select = "SELECT * FROM `majibu` where id = $pupil_id";

       $result = mysqli_query($this->db, $select);

       return mysqli_fetch_all($result);

   }

   public function insertData($jina, $matokeo)

   {

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $insert = "INSERT INTO `majibu` (`jina`, `alama`) VALUES ('$jina', '$matokeo')";

       $result = mysqli_query($this->db, $insert);

       return $result;

   }

   public function editData($id, $jina, $matokeo)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $jina = mysqli_real_escape_string($this->db, $jina);

       $matokeo = mysqli_real_escape_string($this->db, $matokeo);

       $update = "UPDATE `majibu` SET `jina`='$jina', `alama`='$matokeo' WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $update);

       return $result;

   }

   public function deleteData($id)

   {

       $id = mysqli_real_escape_string($this->db, $id);

       $delete = "delete from majibu WHERE `id`='$id'";

       $result = mysqli_query($this->db, $delete);

       return $result;

   }

}

$db = new wanafunzi();


 

read.php

Tengeneza faili lenye jina read.php kisha pest code hizo hapo chini

 

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <titl">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-05 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 991

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Viazi mbatata

Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...