Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
OOP class constant
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const ">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable. Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Bongolite - Game zone - Play free game
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
PHP somo la 58: static method kwenye PHP
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog