Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
OOP class constant
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const ">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi. Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi
PHP somo la 73: Maana ya http header
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP