Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
OOP class constant
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const ">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Download App Yetu
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako
PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia