Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
OOP class constant
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const ">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya. Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection. Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Download App Yetu
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO