Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
OOP class constant
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const ">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database. Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako. Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite