Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Somo letu litakuwa katika njia mbili, ya kwanz ani ya online na ya pili ni ya offline. Kwanza tutaanza na njia ya online. Hapa tutakwenda kutumia Dart pad ambayo ni text ediroe iliyoandaliwa na waanzilishi wa Dart. editor hii ina feature zote.
Kwanza tutatengeneza mafaili yetu ya html, la css, na html. Kisha tutakwenda ku pest code hizo kwenye pad editor ya online.
Ili uweze ku run html code kwenye dart kwanza tutatakiwa ku import html . hivyo basi ingia kwenye dart pad, anza ku import dart library
import 'dart:html';
void main()
{
}
Kisha kwenye hiyo dart pad kwa juu kuna palipo andikwa html bofya hapo kisha pest code za html.
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Bongoclass</title>
<link rel = "stylesheet" href = "styles.css">
</head>
<body>
<h1 id="header"></h1>
<p>Karibu bongoclass</p>
</body>
</html>
Kisha angalia palipoandikwa CSS pesa code hizo za css
body {
background-color: black;
}
h1 {
color: ForestGreen;
font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;
}
Baada ya hapo bofya palipoandikwa run kwa juu upande wa kulia. Kama umefuata vyema maelekezo utaona upande wa kulia kuna palipoandikwa karibu bongoclass
Kwama unatumia simu kutakuwa na utofauti kidogo lakini maelezo hayo niliotoa yanatosheleza.
Mpaka kufikia hapo umeona faili letu la html limesoma. Sasa tunataka output za dart zionekane kwenye html. Mfano tunataka tukiprint text kwenye dart zisome kwenye html file. Kufanya hivi kwanza utatakiwa kuweka id kwenye html zako wapi unataka kuona hizo output.
Tuseme tunataka kuweka title mafunzo ya Dart na tunataka title hii isome kwenye <h1> tag. Hii tag itaitwa selector hivyo basi hii selector tutaiita wneye code za dart kw akutumia id yake. Mfano <h1 id="header"></h1> hapo id ya selector yetu ni header. Rejea mafunzo yetu ya css kujifunz zaidi kuhusu selectors.
Unaweza kuwa na selector zaidi ya moja kwenye faili na zote zikawa na id zao. Kumbuka id haitakiwi kufanana. Pia kwenye Dart unaweza kuita selector zaidi ya moja. Sasa function inayotumika kuita hizo selector kwenye dart ni querySelector() ndani ya hiyo function utaweka hiyo id ya selector yako.
Mfano
querySelector(‘#header’)
Hivyo basi tutatengeneza variable kwa ajili ya ku access hiyo selector yetu
var header = querySelector('#header');
Kisha tutakwenda kuitumia variable yetu ili kupeleka data zetu kwenye faili la html
header.text = "Mafunzo ya Dart";
Code nzima zitaonekana hivi:-
import 'dart:html';
void main()
{
var header = querySelector('#header');
header?.text = "Mafunzo ya Dart";
}
Unaweza kuongeza function nyingibne na hata click event. Rejea mafunzo yetu ya javascript utajifynza mengine jinsi ya kutumia id ili kucheza na html. Sasa ngoja turudi kwenye njia yetu ya offline.
Kwa kutumia webstorm IDE
Hii ni software kwa ajili ya kutengeneza web app. Watengenezaji wa software hii ni jetbrain. Unawez aku download free kwenye website yao ya jetbrain. Link nimetoa kwenye somo la kwanza. Rejea jinsi ya kuitumia, kwanz autatakiwa ku download dart plugin. plugin hii ni free. kisha utachaguwa Bare-bones Web App kama inavyoelekewa kwenye picha namba tatu hapo chini:-
Ukishafunguwa software hii tengeneza project mpya kw akuboofya palipoandikwa new project. Kwenye list chaguwa Dart kama inavyo onueshwa kwenye picha namba 1 hapo chini. kisah weka jina la project yako kama inavo onyeshwa kwnye">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...