picha

DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Somo letu litakuwa katika njia mbili, ya kwanz ani ya online na ya pili ni ya offline. Kwanza tutaanza na njia ya online. Hapa tutakwenda kutumia Dart pad ambayo ni text ediroe iliyoandaliwa na waanzilishi wa Dart. editor hii ina feature zote.

 

Kwanza tutatengeneza mafaili yetu ya html, la css, na html. Kisha tutakwenda ku pest code hizo kwenye pad editor ya online.

 

Ili uweze ku run html code kwenye dart kwanza tutatakiwa ku import html . hivyo basi ingia kwenye dart pad, anza ku import dart library

import 'dart:html';

void main()

{

 

}

 

Kisha kwenye hiyo dart pad kwa juu kuna palipo andikwa html bofya hapo kisha pest code za html.

<!DOCTYPE html> 

<html> 

<head>

<title>Bongoclass</title>  

<link rel = "stylesheet" href = "styles.css">

</head>

 

<body> 

<h1 id="header"></h1>

  <p>Karibu bongoclass</p>

</body>

</html>

 

Kisha angalia palipoandikwa CSS pesa code hizo za css

body {

 

background-color: black;

 

}

 

h1 {

color: ForestGreen;

font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;

}

 

Baada ya hapo bofya palipoandikwa run kwa juu upande wa kulia. Kama umefuata vyema maelekezo utaona upande wa kulia kuna palipoandikwa karibu bongoclass

 

Kwama unatumia simu kutakuwa na utofauti kidogo lakini maelezo hayo niliotoa yanatosheleza.

Mpaka kufikia hapo umeona faili letu la html limesoma. Sasa tunataka output za dart zionekane kwenye html. Mfano tunataka tukiprint text kwenye dart zisome kwenye html file. Kufanya hivi kwanza utatakiwa kuweka id kwenye html zako wapi unataka kuona hizo output.

 

Tuseme tunataka kuweka title mafunzo ya Dart na tunataka title hii isome kwenye <h1> tag. Hii tag itaitwa selector hivyo basi hii selector tutaiita wneye code za dart kw akutumia id  yake. Mfano <h1 id="header"></h1> hapo id ya selector yetu ni header. Rejea mafunzo yetu ya css kujifunz zaidi kuhusu selectors.

 

Unaweza kuwa na selector zaidi ya moja kwenye faili na zote zikawa na id zao. Kumbuka id haitakiwi kufanana. Pia kwenye Dart unaweza kuita selector zaidi ya moja. Sasa function inayotumika kuita hizo selector kwenye dart ni  querySelector()   ndani ya hiyo function utaweka hiyo id ya selector yako.

Mfano 

querySelector(‘#header’)

Hivyo basi tutatengeneza variable kwa ajili ya ku access hiyo selector yetu

var header = querySelector('#header');

 Kisha tutakwenda kuitumia variable yetu ili kupeleka data zetu kwenye faili la html

 header.text = "Mafunzo ya Dart";

 

Code nzima zitaonekana hivi:-

import 'dart:html';

 

void main()

{

var header = querySelector('#header');

header?.text = "Mafunzo ya Dart";

}


 


 

Unaweza kuongeza function nyingibne na hata click event. Rejea mafunzo yetu ya javascript utajifynza mengine jinsi ya kutumia id ili kucheza na html. Sasa ngoja turudi kwenye njia yetu ya offline.

 

Kwa kutumia webstorm IDE

Hii ni software kwa ajili ya kutengeneza web app. Watengenezaji wa software hii ni jetbrain. Unawez aku download free kwenye website yao ya jetbrain. Link nimetoa kwenye somo la kwanza. Rejea jinsi ya kuitumia, kwanz autatakiwa ku download dart plugin. plugin hii ni free. kisha utachaguwa Bare-bones Web App kama inavyoelekewa kwenye picha namba tatu hapo chini:-

 

Ukishafunguwa so...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1081

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 web hosting     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula majani ya kunde

Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...