Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Iteration ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach(),
<?php
function printIterable( $myIterable) {
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
}
$arr = ["a", "b", "c"];
printIterable($arr);
?>
Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu
<?php
function getIterable() {
return ["a", "b", "c"];
}
$myIterable = getIterable();
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
?>
Sasa ngoja tuone kwenye class
Mfano
<?php
class IterableCollection {
private $items;
public function __construct() {
$this->items = ["a", "b", "c"];
}
public function getItems() {
return $this->items;
}
}
$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();
foreach($items as $item) {
echo $item;
}
?>
Mfano mwingine:
Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number.
<?php
class FactorialCalculator {
private $number;
public function __construct($number) {
$this->number = $number;
}
public function calculate() {
$result = 1;
$numbers = range(1, $this->number);
foreach($numbers as $num) {
$result *= $num;
}
return $result;
}
}
//">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...