picha

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Iteration  ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach()

 

<?php

function printIterable( $myIterable) {

   foreach($myIterable as $item) {

       echo $item;

   }

}

 

$arr = ["a", "b", "c"];

printIterable($arr);

?>

 

 Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu

<?php

function getIterable() {

   return ["a", "b", "c"];

}

 

$myIterable = getIterable();

foreach($myIterable as $item) {

   echo $item;

}

?>

 

Sasa ngoja tuone kwenye class

Mfano
<?php

class IterableCollection {
    private $items;

    public function __construct() {
        $this->items = ["a", "b", "c"];
    }

    public function getItems() {
        return $this->items;
    }
}

$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();

foreach($items as $item) {
    echo $item;
}

?>

 

Mfano mwingine:

Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number. 

<?php

 

class FactorialCalculator {

    private $number;

 

    public function __construct($number) {

        $this->number = $number;

    }

 

    public function calculate() {

        $result = 1;

        $numbers = range(1, $this->number);

        

        foreach($numbers as $num) {

            $result *= $num;

        }

        

        return $result;

    }

}

 

//">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-03 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 778

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...