picha

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Iteration  ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach()

 

<?php

function printIterable( $myIterable) {

   foreach($myIterable as $item) {

       echo $item;

   }

}

 

$arr = ["a", "b", "c"];

printIterable($arr);

?>

 

 Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu

<?php

function getIterable() {

   return ["a", "b", "c"];

}

 

$myIterable = getIterable();

foreach($myIterable as $item) {

   echo $item;

}

?>

 

Sasa ngoja tuone kwenye class

Mfano
<?php

class IterableCollection {
    private $items;

    public function __construct() {
        $this->items = ["a", "b", "c"];
    }

    public function getItems() {
        return $this->items;
    }
}

$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();

foreach($items as $item) {
    echo $item;
}

?>

 

Mfano mwingine:

Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number. 

<?php

 

class FactorialCalculator {

    private $number;

 

    public function __construct($number) {

        $this->number = $number;

    }

 

    public function calculate() {

        $result = 1;

        $numbers = range(1, $this->number);

        

        foreach($numbers as $num) {

            $result *= $num;

        }

        

        return $result;

    }

}

 

//">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-03 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 797

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 web hosting    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 76: Aina za cache header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...