PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Download Post hii hapa

Iteration  ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach()

 

<?php

function printIterable( $myIterable) {

   foreach($myIterable as $item) {

       echo $item;

   }

}

 

$arr = ["a", "b", "c"];

printIterable($arr);

?>

 

 Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu

<?php

function getIterable() {

   return ["a", "b", "c"];

}

 

$myIterable = getIterable();

foreach($myIterable as $item) {

   echo $item;

}

?>

 

Sasa ngoja tuone kwenye class

Mfano
<?php

class IterableCollection {
    private $items;

    public function __construct() {
        $this->items = ["a", "b", "c"];
    }

    public function getItems() {
        return $this->items;
    }
}

$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();

foreach($items as $item) {
    echo $item;
}

?>

 

Mfano mwingine:

Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number. 

<?php

 

class FactorialCalculator {

    private $number;

 

    public function __construct($number) {

        $this->number = $number;

    }

 

    public function calculate() {

        $result = 1;

        $numbers = range(1, $this->number);

        

        foreach($numbers as $num) {

            $result *= $num;

        }

        

        return $result;

    }

}

 

//">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 372

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo
PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP somol  la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

Soma Zaidi...
PHP somo la 92:  Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Soma Zaidi...