Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Iteration ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach(),
<?php
function printIterable( $myIterable) {
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
}
$arr = ["a", "b", "c"];
printIterable($arr);
?>
Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu
<?php
function getIterable() {
return ["a", "b", "c"];
}
$myIterable = getIterable();
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
?>
Sasa ngoja tuone kwenye class
Mfano
<?php
class IterableCollection {
private $items;
public function __construct() {
$this->items = ["a", "b", "c"];
}
public function getItems() {
return $this->items;
}
}
$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();
foreach($items as $item) {
echo $item;
}
?>
Mfano mwingine:
Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number.
<?php
class FactorialCalculator {
private $number;
public function __construct($number) {
$this->number = $number;
}
public function calculate() {
$result = 1;
$numbers = range(1, $this->number);
foreach($numbers as $num) {
$result *= $num;
}
return $result;
}
}
// Instantiate the FactorialCalculator c">...
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 234
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5 Kitabu cha Afya
👉6 kitabu cha Simulizi
PHP somola 78: Cookie Headers
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Soma Zaidi...
PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database
hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF. Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Soma Zaidi...