Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Iteration ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach(),
<?php
function printIterable( $myIterable) {
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
}
$arr = ["a", "b", "c"];
printIterable($arr);
?>
Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu
<?php
function getIterable() {
return ["a", "b", "c"];
}
$myIterable = getIterable();
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
?>
Sasa ngoja tuone kwenye class
Mfano
<?php
class IterableCollection {
private $items;
public function __construct() {
$this->items = ["a", "b", "c"];
}
public function getItems() {
return $this->items;
}
}
$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();
foreach($items as $item) {
echo $item;
}
?>
Mfano mwingine:
Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number.
<?php
class FactorialCalculator {
private $number;
public function __construct($number) {
$this->number = $number;
}
public function calculate() {
$result = 1;
$numbers = range(1, $this->number);
foreach($numbers as $num) {
$result *= $num;
}
return $result;
}
}
// Instantiate the FactorialCalcula">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...