PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Download Post hii hapa

Iteration  ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach()

 

<?php

function printIterable( $myIterable) {

   foreach($myIterable as $item) {

       echo $item;

   }

}

 

$arr = ["a", "b", "c"];

printIterable($arr);

?>

 

 Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu

<?php

function getIterable() {

   return ["a", "b", "c"];

}

 

$myIterable = getIterable();

foreach($myIterable as $item) {

   echo $item;

}

?>

 

Sasa ngoja tuone kwenye class

Mfano
<?php

class IterableCollection {
    private $items;

    public function __construct() {
        $this->items = ["a", "b", "c"];
    }

    public function getItems() {
        return $this->items;
    }
}

$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();

foreach($items as $item) {
    echo $item;
}

?>

 

Mfano mwingine:

Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number. 

<?php

 

class FactorialCalculator {

    private $number;

 

    public function __construct($number) {

        $this->number = $number;

    }

 

    public function calculate() {

        $result = 1;

        $numbers = range(1, $this->number);

        

        foreach($numbers as $num) {

            $result *= $num;

        }

        

        return $result;

    }

}

 

//">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 365

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP  BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...