Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Iteration ni uwezo wa kuifanya value yeyote iweze kufanyiwa loop kw akutumia foreach(),
<?php
function printIterable( $myIterable) {
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
}
$arr = ["a", "b", "c"];
printIterable($arr);
?>
Code hizo hapo juu pia zinaweza kuandikwa katika mtindo huu
<?php
function getIterable() {
return ["a", "b", "c"];
}
$myIterable = getIterable();
foreach($myIterable as $item) {
echo $item;
}
?>
Sasa ngoja tuone kwenye class
Mfano
<?php
class IterableCollection {
private $items;
public function __construct() {
$this->items = ["a", "b", "c"];
}
public function getItems() {
return $this->items;
}
}
$iterableCollection = new IterableCollection();
$items = $iterableCollection->getItems();
foreach($items as $item) {
echo $item;
}
?>
Mfano mwingine:
Katika mfano huu utajifunza jinsi ya kukokotia factorial of number.
<?php
class FactorialCalculator {
private $number;
public function __construct($number) {
$this->number = $number;
}
public function calculate() {
$result = 1;
$numbers = range(1, $this->number);
foreach($numbers as $num) {
$result *= $num;
}
return $result;
}
}
//">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...