picha

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

  1. Kukadiria namba 

Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3

void main(){

double jibu = 10/4;

 

print(jibu);

print(jibu.round());

}

 

  1. Kuangalia sifa za namba
  1. Namba shufwa (isEven)

Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Washa tutest kama 4 ni shufwa

void main(){

 print(4.isEven);

}

True

  1. Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)

Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano namba 5 tunakwenda kuitengenezea hashcode haye

void main(){

 print(5.hashCode);

}

58005

  1. Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative
  2. Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit
  3. Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinit
  4. Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan
  5. Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd

 

3. Kubadili namba kuwa string toString

void main(){

 print(4.toString());

}

4

 

Zipo method nyingine za namba. Sasa nataka tuhame tuingie kwenye library ya math yaani math library.

 

Math library

Ni mkusanyiko wa tools za kufanyia mahesabu. Tutakwedna kujifunza vyema katika somo la library. Hapa ninachotaka ni uweze kujifunza kuitumia library ya mahesa...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 928

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...