Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Download App Yetu
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 76: Aina za cache header
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP