Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 285
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql . Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...