Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Download App Yetu
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP somo la 83: Server Variables
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
PHP somo la 73: Maana ya http header