Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost