Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
PHP somo la 102: Cron job
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
PHP somo la 82: Content-Disposition
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database