Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Matumizi ya __construct() function kwenye class.
Hii hutumika Ili kuweza kuanzisha (iniate) object mara TU baada ya kutengeneza. Kuanzisha object ni kule kuipa thamani value yake. Kama tulivyoona huko mwanzoni baada ya kutengeneza object Kisha tukaioa thamani yake.
Tunatumia alama mbili za underscore yaani (_ _).
Sasa unapotumia __construct() function basi value ya object utaweka Moja kwa itMoja pinde TU unapotengeneza object.
Mfano:
<?php
class gari{
public $name;
function __construct($name){
$this->name = $name;
}
function get_name(){
return $this->name;
}
}
//tengeneza object
$jina = new gari("toyota");
echo $jina->get_name();
?>">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu. Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP somo la 83: Server Variables
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
PHP somo la 75: Content-Type Header
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
PHP somo la 79: Custom header
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website