Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Katika somo lililotangulia tumejifunza amna a kupangilia taarifa za kwenye databse. Tuliona namna ya kutumia ORDER BY. Isha tukapanga data zetu kutoka kubwa kwenda ndogo na kinyume chake. Sasa katika somo hili tutatkwenda kuendelea na nnamna ya kupangilia data hizo ila kwa kutumia WHERE .
Kwa nini tunatumia where ?
Tunatumia WHERE endapo tuna masharti yanatakiwa yafikiwe ili data kuonekanna. Kwa mfano unataka kusoma menu zote ambazo gharama yake ni zaidi ya 1000. hapa hili tunaita ni sharti ama condition. Sasa ili sharti hili liweze kufanya kazi kwenye SQL tunatumia where.
1. Mfano wa kwanza
Tunahitaji kusoma data zote ambazo price yake ni sawa na 1000.
Kufanya hivyo tutatumia alama ya = mbele ya where. Hivyocommand nzima itaonekana.
SELECT * FROM `menu` WHERE price =1000
hapo menu itakayoonekana ni ile tu ambayo proce yake ni sawa na 1000.
2. Mfano wa pili
Tunataka kusoma data ambazo id yake ni 3, 4, na 8. yaani data tu zenye id hizo ndizo tunataka kuziona na si nyinginezo. Hivyo tunatarajia kuwa na row tatu tu. Kufanya hivyo tutatumia OR kwa maana au. Yaani eidha id iwe 3 au id iwe 4 au id iwe 8. Na command yote itaonekana hivi
SELECT * FROM `menu` WHERE id =3 OR id =4 OR id =8; pia unweza kuondoa nyota na kupunguza column
SELECT name, price FROM `menu` WHERE id =3 OR id =4 OR id =8;
3. Mafno wa tatu
Chukulia mfano kwenye menu kuna ugali mbili. Kuna ugali nyama abayo ni 1500 na kuna ugali ng’onda ambaypo ji 1000. sasa mimi nataka kusoma ile ambayo ni ugali nyama ya 1500. kumbuka zote ni ugali na kwenye menu zitanasomeka hivyo hivyo. Ili kuona ya ugali 1500 tu tunatakiwa tutumie AND yaani tuselect ugali lakini kwa ulazima kuwa na id yake iwe 1. ambapo kwenye menu yetu id 1 ni ugali hivyo itakuwa hivi:-
SELECT * FROM menu WHERE name = 'ugali' AND id =1
Kuna jambo hapa unatakiwa ulijuwe. Tunapotumia string (sting ni mkusanyiko wa herufi na namba, rejea mafunzo ya php) value inatakiwa ikae ndani ya alama za kufnga na funguwa semi ‘’ kama ulivyo kwenye mfano 'ugali'.
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database. Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Download App Yetu
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql