Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Katika somo lililotangulia tumejifunza amna a kupangilia taarifa za kwenye databse. Tuliona namna ya kutumia ORDER BY. Isha tukapanga data zetu kutoka kubwa kwenda ndogo na kinyume chake. Sasa katika somo hili tutatkwenda kuendelea na nnamna ya kupangilia data hizo ila kwa kutumia WHERE .
Kwa nini tunatumia where ?
Tunatumia WHERE endapo tuna masharti yanatakiwa yafikiwe ili data kuonekanna. Kwa mfano unataka kusoma menu zote ambazo gharama yake ni zaidi ya 1000. hapa hili tunaita ni sharti ama condition. Sasa ili sharti hili liweze kufanya kazi kwenye SQL tunatumia where.
1. Mfano wa kwanza
Tunahitaji kusoma data zote ambazo price yake ni sawa na 1000.
Kufanya hivyo tutatumia alama ya = mbele ya where. Hivyocommand nzima itaonekana.
SELECT * FROM `menu` WHERE price =1000
hapo menu itakayoonekana ni ile tu ambayo proce yake ni sawa na 1000.
2. Mfano wa pili
Tunataka kusoma data ambazo id yake ni 3, 4, na 8. yaani data tu zenye id hizo ndizo tunataka kuziona na si nyinginezo. Hivyo tunatarajia kuwa na row tatu tu. Kufanya hivyo tutatumia OR kwa maana au. Yaani eidha id iwe 3 au id iwe 4 au id iwe 8. Na command yote itaonekana hivi
SELECT * FROM `menu` WHERE id =3 OR id =4 OR id =8; pia unweza kuondoa nyota na kupunguza column
SELECT name, price FROM `menu` WHERE id =3 OR id =4 OR id =8;
3. Mafno wa tatu
Chukulia mfano kwenye menu kuna ugali mbili. Kuna ugali nyama abayo ni 1500 na kuna ugali ng’onda ambaypo ji 1000. sasa mimi nataka kusoma ile ambayo ni ugali nyama ya 1500. kumbuka zote ni ugali na kwenye menu zitanasomeka hivyo hivyo. Ili kuona ya ugali 1500 tu tunatakiwa tutumie AND yaani tuselect ugali lakini kwa ulazima kuwa na id yake iwe 1. ambapo kwenye menu yetu id 1 ni ugali hivyo itakuwa hivi:-
SELECT * FROM menu WHERE name = 'ugali' AND id =1
Kuna jambo hapa unatakiwa ulijuwe. Tunapotumia string (sting ni mkusanyiko wa herufi na namba, rejea mafunzo ya php) value inatakiwa ikae ndani ya alama za kufnga na funguwa semi ‘’ kama ulivyo kwenye mfano 'ugali'.
...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Database
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 431
Sponsored links
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Database somo la 23: View kwenye Database
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Database somo la 24: Transaction kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
Nicheki WhatsApp kwa maswali
Ndio Hapana Save post
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitau cha Fiqh
👉5 Madrasa kiganjani
👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code. Soma Zaidi...
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...
Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Soma Zaidi...