Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Library ni nini?
Library ni mkusanyiko wa programming instruction yaani ni yale maelekezo ambayo huamrishwa kompyuta kuyafuata. Dart yenyewe ina library zake. Kwa mfano wakati tunajifunz akuhusu mahesabu tulitumia library ya math ambapo tuli import kwa kutumia import 'dart:math';Pia wakati tunataka kupata user input tulitumia library ya io ambayo tuli import kwa kutumia import 'dart:io';Pia huko mbele tutakwenda kutumia html kwenye dart tutatulia library ya html kw akutumia import 'dart:html';
Hizi library zipo tu nyingi na kila moja ina matumizi yake mengi tu. Kwa muda wako unawez akuzifuatilia dart library kwenye website yao ya Dart, link nimetoa kwenye somo la kwanza.
Jinsi ya kutengeneza library yako mwenyewe.
Ili uweze kuetengeneza library kwanza utatengeneza faili lingine kisha utaliba jina unalolotaka kwa mfano tutatengeneza faili tutaliita hesabu.dart
Ndani ya hilo faili mstari wa kwanza anza na kuandika keyword library ikifuatiwa na jina la hiyo library. Mfano hesabu
library hesabu;
Sasa chukulia tunataka library yetu ya hesabu iweze ktafuta eneo la pembe tatu, eneo la mraba na eneo la trapeza. Tutatumia kanuni zile zile za darasa la 5 shule ya msingi. Eneo la pembetatu ni ">...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Sponsored links
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Ndio Hapana Save post
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 255
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 kitabu cha Simulizi
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Soma Zaidi...
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi...