DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Library ni nini?
Library ni mkusanyiko wa programming instruction yaani ni yale maelekezo ambayo huamrishwa kompyuta kuyafuata. Dart yenyewe ina library zake. Kwa mfano wakati tunajifunz akuhusu mahesabu tulitumia library ya math ambapo tuli import kwa kutumia import 'dart:math';Pia wakati tunataka kupata user input tulitumia library ya io ambayo tuli import kwa kutumia import 'dart:io';Pia huko mbele tutakwenda kutumia html kwenye dart tutatulia library ya html kw akutumia import 'dart:html';
Hizi library zipo tu nyingi na kila moja ina matumizi yake mengi tu. Kwa muda wako unawez akuzifuatilia dart library kwenye website yao ya Dart, link nimetoa kwenye somo la kwanza.
Jinsi ya kutengeneza library yako mwenyewe.
Ili uweze kuetengeneza library kwanza utatengeneza faili lingine kisha utaliba jina unalolotaka kwa mfano tutatengeneza faili tutaliita hesabu.dart
Ndani ya hilo faili mstari wa kwanza anza na kuandika keyword library ikifuatiwa na jina la hiyo library. Mfano hesabu
library hesabu;
Sasa chukulia tunataka library yetu ya hesabu iweze ktafuta eneo la pembe tatu, eneo la mraba na eneo la trapeza. Tutatumia kanuni zile zile za darasa la 5 shule ya msingi. Eneo la pembetat...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...