DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Library ni nini?

Library ni mkusanyiko wa programming instruction yaani ni yale maelekezo ambayo huamrishwa kompyuta kuyafuata. Dart yenyewe ina library zake. Kwa mfano wakati tunajifunz akuhusu mahesabu tulitumia library ya math ambapo tuli import kwa kutumia import 'dart:math';Pia wakati tunataka kupata user input tulitumia library ya io ambayo tuli import  kwa kutumia import 'dart:io';Pia huko mbele tutakwenda kutumia html kwenye dart tutatulia library ya html kw akutumia import 'dart:html';

 

Hizi library zipo tu nyingi na kila moja ina matumizi yake mengi tu. Kwa muda wako unawez akuzifuatilia dart library kwenye website yao ya Dart, link nimetoa kwenye somo la kwanza.

 

Jinsi ya kutengeneza library yako mwenyewe.

Ili uweze kuetengeneza library kwanza utatengeneza faili lingine kisha utaliba jina unalolotaka kwa mfano tutatengeneza faili tutaliita hesabu.dart

 

Ndani ya hilo faili mstari wa kwanza anza na kuandika keyword library ikifuatiwa na jina la hiyo library. Mfano  hesabu 

library hesabu;

 

Sasa  chukulia tunataka library yetu ya hesabu iweze ktafuta eneo la pembe tatu, eneo la mraba na eneo la trapeza. Tutatumia kanuni zile zile za darasa la 5 shule ya">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 468

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...