DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Kabla ya kuendelea na somo, kwanza tengeneza faili kwa kutumia note pad, hilo faili liite dart.txt zingatia wakati wa ku save chaguwa seve as type, weka all files kisha ndipo utaweka hilo jina dart.txt kisha hilo faili liweke kwenye folder lenye project yako ya Dart.

 

Hilo faili ndio tunakwenda kulifanyia kazi katika somo hili. Tutakwenda kujifunza kupata taarifa za faili, kulisoma na kuandika data. Pia tutakwend akujifunz akutengeneza faili lingine.

Ndani ya hilo faili lako weka maneneo haya 

Karib bongoclass

Haya ni mafunzo ya dart programming

 

Jinsi ya kusoma faili:

Sasa ili tuweze kusoma faililetu tutatumia method hii readAsSteingSync() ila kabla ya hapo tutatakiwa kutengeneza file object kwa kutumia function File() ndani yake tutaweka jina la faili. Pia kama faili lipo kwenye directory ama folda lingine utaweka link yake hapo ndani ya hiyo function. Jambo la kuzingatia zaidi ni ku import io library.

 

Mfano

import 'dart:io';

 

void main() {

 // tengeneza file object

 File file = File('dart.txt');

 // soma file

 String contents = file.readAsStringSync();

 // print file

 print(contents);

}

 

Pia unaweza kusoma faili kw akutumia split()

import 'dart:io';

void main() {

 // open file

 File file = File('dart.txt');

 // read file

 String contents = file.readAsStringSync();

 // split file using new line

 List<String> lines = contents.split(' ');

 // print file

 print('---------------------');

 for (var line in lines) {

   print(line);

 }

}

Angalia picha hapo chini

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 571

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...