Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Kabla ya kuendelea na somo, kwanza tengeneza faili kwa kutumia note pad, hilo faili liite dart.txt zingatia wakati wa ku save chaguwa seve as type, weka all files kisha ndipo utaweka hilo jina dart.txt kisha hilo faili liweke kwenye folder lenye project yako ya Dart.
Hilo faili ndio tunakwenda kulifanyia kazi katika somo hili. Tutakwenda kujifunza kupata taarifa za faili, kulisoma na kuandika data. Pia tutakwend akujifunz akutengeneza faili lingine.
Ndani ya hilo faili lako weka maneneo haya
Karib bongoclass
Haya ni mafunzo ya dart programming
Jinsi ya kusoma faili:
Sasa ili tuweze kusoma faililetu tutatumia method hii readAsSteingSync() ila kabla ya hapo tutatakiwa kutengeneza file object kwa kutumia function File() ndani yake tutaweka jina la faili. Pia kama faili lipo kwenye directory ama folda lingine utaweka link yake hapo ndani ya hiyo function. Jambo la kuzingatia zaidi ni ku import io library.
Mfano
import 'dart:io';
void main() {
// tengeneza file object
File file = File('dart.txt');
// soma file
String contents = file.readAsStringSync();
// print file
print(contents);
}
Pia unaweza kusoma faili kw akutumia split()
import 'dart:io';
void main() {
// open file
File file = File('dart.txt');
// read file
String contents = file.readAsStringSync();
// split file using new line
List<String> lines = contents.split(' ');
// print file
print('---------------------');
for (var line in lines) {
print(line);
}
}
Angalia picha hapo chini
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 383
Sponsored links
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
kitabu cha Simulizi
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP. Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART. Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Soma Zaidi...