DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Download Post hii hapa

Kabla ya kuendelea na somo, kwanza tengeneza faili kwa kutumia note pad, hilo faili liite dart.txt zingatia wakati wa ku save chaguwa seve as type, weka all files kisha ndipo utaweka hilo jina dart.txt kisha hilo faili liweke kwenye folder lenye project yako ya Dart.

 

Hilo faili ndio tunakwenda kulifanyia kazi katika somo hili. Tutakwenda kujifunza kupata taarifa za faili, kulisoma na kuandika data. Pia tutakwend akujifunz akutengeneza faili lingine.

Ndani ya hilo faili lako weka maneneo haya 

Karib bongoclass

Haya ni mafunzo ya dart programming

 

Jinsi ya kusoma faili:

Sasa ili tuweze kusoma faililetu tutatumia method hii readAsSteingSync() ila kabla ya hapo tutatakiwa kutengeneza file object kwa kutumia function File() ndani yake tutaweka jina la faili. Pia kama faili lipo kwenye directory ama folda lingine utaweka link yake hapo ndani ya hiyo function. Jambo la kuzingatia zaidi ni ku import io library.

 

Mfano

import 'dart:io';

 

void main() {

 // tengeneza file object

 File file = File('dart.txt');

 // soma file

 String contents = file.readAsStringSync();

 // print file

 print(contents);

}

 

Pia unaweza kusoma faili kw akutumia split()

import 'dart:io';

void main() {

 // open file

 File file = File('dart.txt');

 // read file

 String contents = file.readAsStringSync();

 // split file using new line

 List<String> lines = contents.split(' ');

 // print file

 print('---------------------');

 for (var line in lines) {

   print(line);

 }

}

Angalia picha hapo chini

...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 455

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...