picha
YAJUE MALENGO YA KUSAFISHA VIDONDA.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini...

picha
AINA ZA VIDONDA

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu...

picha
AINA KUU TATU ZA MVUNJIKO WA VIUNO VYA MWILINI NA MIFUPA

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa...

picha
VITU VILIVYOPO KWENYE MAJI YA AMNIOTIC FLUID (MAJIMAJI YANAYOMZUNGRUKA MTOTO ALIYEKUWEPO TUMBONI WAKATI WA UJAUZITO)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya...

picha
MAJI YA AMNIOTIC

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

picha
MABADILIKO YA UZITO KWA MJAMZITO

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na...

picha
MABADILIKO YA NGOZI WAKATI WA UJAUZITO.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.

picha
MABADILIKO YA MATITI KWA MAMA MJAMZITO

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko...

picha
MAMA MJAMZITO ANARUHUSIWA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi...

picha
JE, UTAMSAIDIA VIPI MTU ALIYEUMWA NA NYUKI?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa...

picha
NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZINAZOMHUSISHA MWANAUME

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika...

picha
MABADILIKO KWENYE UKE WA MAMA PALE ANAPOBEBA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke...

picha
MABADILIKO KWENYE TUMBO LA UZAZI WA MAMA ANAPOBEBA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba...

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL ALAQA

Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura...

picha
MAANDALIZI YA MAMA MJAMZITO KWA AJILI YA KUJIFUNGULIA.

Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara...

picha
JIFUNZE JINSI YA KUMSAIDIA MWENYE KIFAFA

Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha...

picha
KUMSAIDIA SLIYEPUNGUKIWA NA DAMU KWA SABABU YA MINYOO

Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.

picha
UPUNGUFU WA DAMU UNAOSABABISHWA NA MINYOO.

Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.

picha
DALILI ZA HOMA YA UTI WA MGONGO (MENINGITIS)

Posti hii inahusu zaidi dalili za Homa ya uti wa mgongo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye maambukizi kwenye...

picha
YAJUE MAGONJWA NYEMELEZI.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka.

picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MTOTO MWENYE UTI

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.

picha
DALILI ZA MTOTO MWENYE UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

picha
WALIO KWENYE HATARI YA KUPATA UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa...

picha
NI NINI HUSABABISHA KINJWAA KUTOA HARUFU MBAYA?

Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya?

Page 184 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.