Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu masharti ya swala.
Sharti za Swala
Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali. Mambo haya ni:
1.Twahara.
2.Sitara.
3.Kuchunga wakati.
4.Kuelekea Qibla.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Maana ya elimuElimu ni ujuzi ulioambatanishwa na utendaji.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha kuhush swala za sunnah.
Soma Zaidi...Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza faida za ndoa katika Jamii na kwa wanadamu kiafya, kiroho, kiuchumi
Soma Zaidi...