picha

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.

1. Kuanzia wiki ya tatu ya ujauzito asilimia tisini ya wanawake wengi miili yao uwa na weusi fulani  hii ni kwa sababu ya homone ambayo kwa kitaalamu huitwa melanocyte na kwa sababu ya kazi ya progesterone na oestrogen homoni hizi homoni ufanya sehemu za mwili kuwa nyeusi.

 

2.Msitari mweusi ambao unaanzia kwenye ambao kwa kitaamu huitwa linea nigra uonekana kwenye sehemu za tumbo huu stari huwa mweusi na uwepo mpaka pale Mama anapojifungua ndipo huu msitari upotea taratibu na baadae kutoweka.

 

3. Wanawake wengine huwa na Alama usoni ambayo kwa kitaalamu huitwa melasma or mask of plegnant, hizi Alama uwapata wanawake wajawazito ingawa sio wote, Kuna wanawake wengine wanaweza kuwa na Alama ambazo  baadae watoto wanaweza kuzaliwa nazo kama Alama za wazazi wao.

 

4. Kwa sababu ya kuongezeka kwa tumbo la Mama akina mama wengine ngozi zao ujivuta kabisa na kusababisha Alama fulani kwa baadhi ya wanawake ambazo kwa kitaalamu huitwa striae gravidarum kwa sababu ya kuongezeka kwa Tumbo la Mama, hizi Alama upotea taratibu pindi Mama akimaliza kujifungua.

 

5. Kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha damu kwenye mwili hali hii uoneka kwa baadhi ya wanawake ambapo mishipa uonekana mpaka juu kuliko kawaida, kwa Sababu ya kuongezeka kwa damu kwenye ngozi na damu ukimbia sana kuliko kawaida kwa hiyo joto la wanawake uwa juu sio kwa ajili ya ugonjwa Bali ni joto linalosababishwa na wingi wa damu na mishipa kwenye ngozi ya Mama mjamzito.

 

6. Wanawake wakiona dalili zote hizi kwenye ngozi wasishangae kwa sababu ni hali ya kawaida inayotokea kwenye mwili pindi Mama anapobeba mimba na zile jamii ambazo zina Mila na desturi ambazo hazieleweki kwa dalili ambazo ujioshesha kwa akina Mama wajue kuwa ni kawaida na utokea wasitumie vitu vingine ambavyo umfikisha Mama kwenye hali ngumu na mbaya.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4529

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.

Soma Zaidi...
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...