Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.

1. Kuanzia wiki ya tatu ya ujauzito asilimia tisini ya wanawake wengi miili yao uwa na weusi fulani  hii ni kwa sababu ya homone ambayo kwa kitaalamu huitwa melanocyte na kwa sababu ya kazi ya progesterone na oestrogen homoni hizi homoni ufanya sehemu za mwili kuwa nyeusi.

 

2.Msitari mweusi ambao unaanzia kwenye ambao kwa kitaamu huitwa linea nigra uonekana kwenye sehemu za tumbo huu stari huwa mweusi na uwepo mpaka pale Mama anapojifungua ndipo huu msitari upotea taratibu na baadae kutoweka.

 

3. Wanawake wengine huwa na Alama usoni ambayo kwa kitaalamu huitwa melasma or mask of plegnant, hizi Alama uwapata wanawake wajawazito ingawa sio wote, Kuna wanawake wengine wanaweza kuwa na Alama ambazo  baadae watoto wanaweza kuzaliwa nazo kama Alama za wazazi wao.

 

4. Kwa sababu ya kuongezeka kwa tumbo la Mama akina mama wengine ngozi zao ujivuta kabisa na kusababisha Alama fulani kwa baadhi ya wanawake ambazo kwa kitaalamu huitwa striae gravidarum kwa sababu ya kuongezeka kwa Tumbo la Mama, hizi Alama upotea taratibu pindi Mama akimaliza kujifungua.

 

5. Kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha damu kwenye mwili hali hii uoneka kwa baadhi ya wanawake ambapo mishipa uonekana mpaka juu kuliko kawaida, kwa Sababu ya kuongezeka kwa damu kwenye ngozi na damu ukimbia sana kuliko kawaida kwa hiyo joto la wanawake uwa juu sio kwa ajili ya ugonjwa Bali ni joto linalosababishwa na wingi wa damu na mishipa kwenye ngozi ya Mama mjamzito.

 

6. Wanawake wakiona dalili zote hizi kwenye ngozi wasishangae kwa sababu ni hali ya kawaida inayotokea kwenye mwili pindi Mama anapobeba mimba na zile jamii ambazo zina Mila na desturi ambazo hazieleweki kwa dalili ambazo ujioshesha kwa akina Mama wajue kuwa ni kawaida na utokea wasitumie vitu vingine ambavyo umfikisha Mama kwenye hali ngumu na mbaya.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2667

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kujikinga na maradhi ya ini

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini

Soma Zaidi...
Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?

Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.

Soma Zaidi...
Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...