Menu



Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Kazi za maji ya Amniotic

1. Yanazuia mtoto kutokana na hatari zozote.

Maji haya umsaidie mtoto kutokana na hatari mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto, kwa mfano Kuna familia nyingine ambazo wazazi wanagombana mara kwa mara wakati mwingine mama anaweza kupigwa kwenye tumbo lakini mtoto hawezi kupata madhara yoyote kwa sababu ya kuwepo kwa maji ya Amniotic fluid,kwa hiyo maji haya ni ya maana kwa mtoto kwa sababu umkinga mtoto dhidi ya uharibifu wowote.

 

2. Umsaidie mtoto aweze kujongea akiwa tumboni.

Mtoto akiwa tumboni ujongea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine kwa hiyo mtoto utembea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa kutumia maji ya Amniotic fluid, tuliwahi kusikia kuwa mtoto huwa anatembea akiwa tumboni kwa kupitia maji haya mtoto uweza kutembea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.

 

3.Maji ya Amniotic fluid umsaidie mtoto kuwa na temperature ambayo ni sawia kwa hiyo Kuna Temperature ambayo uhitajika kwa mtoto Ili aweze kuishi vizuri  akiwa tumboni kwa hiyo haya Maji umfanya mtoto kuwa na joto linalohitajika ambalo haliwezi kupungua au kuongezeka zaidi kwa hiyo kwa kuwepo kwa maji haya joto la mwili ubaki lilies sawia.

 

4. Maji ya Amniotic fluid I usaidia mtoto aweze kupata chakula chake, tukumbuke kuwa maji haya ni masafi sana ingawa mtoto ukaa ndani yake kwa hiyo mtoto anaweza kupata chakula chake kupitia maji haya  ambayo ukaa ndani ya mtoto kwa hiyo kupitia maji haya mtoto uweza kupata chakula chake.

 

5. Maji ya Amniotic fluid usaidia kutoa uchafu kutoka kwa Mtoto kwenda kwa Mama kwa ajili ya kufanya mazingira kuwa Safi, kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa mtoto uchafu huo utolewa kupitia kwenye placenta na pia kwenye maji ya Amniotic fluid uchafu nao unaweza kupitia kwa hiyo tunaona maji haya yalivyo na faida kwa mtoto akiwa tumboni.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1922

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Nini husababisha maumivu ya uume

Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.

Soma Zaidi...
je mwana mke ana weza kubeba mimba kama hayupo kwenye siku zake za hatali ama

Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.

Soma Zaidi...
Kutokwa maji yan seminal swhemu za siri kwa mwanamke nidalili ya ugojwa gan?

Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume

Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.

Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v

Soma Zaidi...
Kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Madhara ya fangasi ukeni

Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...