Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Kazi za maji ya Amniotic

1. Yanazuia mtoto kutokana na hatari zozote.

Maji haya umsaidie mtoto kutokana na hatari mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto, kwa mfano Kuna familia nyingine ambazo wazazi wanagombana mara kwa mara wakati mwingine mama anaweza kupigwa kwenye tumbo lakini mtoto hawezi kupata madhara yoyote kwa sababu ya kuwepo kwa maji ya Amniotic fluid,kwa hiyo maji haya ni ya maana kwa mtoto kwa sababu umkinga mtoto dhidi ya uharibifu wowote.

 

2. Umsaidie mtoto aweze kujongea akiwa tumboni.

Mtoto akiwa tumboni ujongea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine kwa hiyo mtoto utembea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa kutumia maji ya Amniotic fluid, tuliwahi kusikia kuwa mtoto huwa anatembea akiwa tumboni kwa kupitia maji haya mtoto uweza kutembea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.

 

3.Maji ya Amniotic fluid umsaidie mtoto kuwa na temperature ambayo ni sawia kwa hiyo Kuna Temperature ambayo uhitajika kwa mtoto Ili aweze kuishi vizuri  akiwa tumboni kwa hiyo haya Maji umfanya mtoto kuwa na joto linalohitajika ambalo haliwezi kupungua au kuongezeka zaidi kwa hiyo kwa kuwepo kwa maji haya joto la mwili ubaki lilies sawia.

 

4. Maji ya Amniotic fluid I usaidia mtoto aweze kupata chakula chake, tukumbuke kuwa maji haya ni masafi sana ingawa mtoto ukaa ndani yake kwa hiyo mtoto anaweza kupata chakula chake kupitia maji haya  ambayo ukaa ndani ya mtoto kwa hiyo kupitia maji haya mtoto uweza kupata chakula chake.

 

5. Maji ya Amniotic fluid usaidia kutoa uchafu kutoka kwa Mtoto kwenda kwa Mama kwa ajili ya kufanya mazingira kuwa Safi, kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa mtoto uchafu huo utolewa kupitia kwenye placenta na pia kwenye maji ya Amniotic fluid uchafu nao unaweza kupitia kwa hiyo tunaona maji haya yalivyo na faida kwa mtoto akiwa tumboni.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2257

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango

Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana

Soma Zaidi...
Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?

Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...