Maji ya Amniotic

Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Download Post hii hapa

Kazi za maji ya Amniotic

1. Yanazuia mtoto kutokana na hatari zozote.

Maji haya umsaidie mtoto kutokana na hatari mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto, kwa mfano Kuna familia nyingine ambazo wazazi wanagombana mara kwa mara wakati mwingine mama anaweza kupigwa kwenye tumbo lakini mtoto hawezi kupata madhara yoyote kwa sababu ya kuwepo kwa maji ya Amniotic fluid,kwa hiyo maji haya ni ya maana kwa mtoto kwa sababu umkinga mtoto dhidi ya uharibifu wowote.

 

2. Umsaidie mtoto aweze kujongea akiwa tumboni.

Mtoto akiwa tumboni ujongea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine kwa hiyo mtoto utembea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa kutumia maji ya Amniotic fluid, tuliwahi kusikia kuwa mtoto huwa anatembea akiwa tumboni kwa kupitia maji haya mtoto uweza kutembea kutoka sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.

 

3.Maji ya Amniotic fluid umsaidie mtoto kuwa na temperature ambayo ni sawia kwa hiyo Kuna Temperature ambayo uhitajika kwa mtoto Ili aweze kuishi vizuri  akiwa tumboni kwa hiyo haya Maji umfanya mtoto kuwa na joto linalohitajika ambalo haliwezi kupungua au kuongezeka zaidi kwa hiyo kwa kuwepo kwa maji haya joto la mwili ubaki lilies sawia.

 

4. Maji ya Amniotic fluid I usaidia mtoto aweze kupata chakula chake, tukumbuke kuwa maji haya ni masafi sana ingawa mtoto ukaa ndani yake kwa hiyo mtoto anaweza kupata chakula chake kupitia maji haya  ambayo ukaa ndani ya mtoto kwa hiyo kupitia maji haya mtoto uweza kupata chakula chake.

 

5. Maji ya Amniotic fluid usaidia kutoa uchafu kutoka kwa Mtoto kwenda kwa Mama kwa ajili ya kufanya mazingira kuwa Safi, kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa mtoto uchafu huo utolewa kupitia kwenye placenta na pia kwenye maji ya Amniotic fluid uchafu nao unaweza kupitia kwa hiyo tunaona maji haya yalivyo na faida kwa mtoto akiwa tumboni.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2125

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)
Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)

Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za mimba kutoka.
Aina mbalimbali za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake
Sababu za ugumba kwa wanawake

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba

Soma Zaidi...
Habari Mimi ni mjamzito was miezi Tisa sasa nimeanza kutokwa na maji kidogo kidogo ukeni bila uchungu na no mimba yangu ya kwanza he Kuna shida?
Habari Mimi ni mjamzito was miezi Tisa sasa nimeanza kutokwa na maji kidogo kidogo ukeni bila uchungu na no mimba yangu ya kwanza he Kuna shida?

Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni.

Soma Zaidi...
Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)
Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Soma Zaidi...
Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi
Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.

Soma Zaidi...
dalili za mimba changa na siku ya kupata mimba
dalili za mimba changa na siku ya kupata mimba

Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya siku 4
Dalili za mimba ya siku 4

Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo.

Soma Zaidi...
Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito
Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito

Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito

Soma Zaidi...