Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Faida za Mchaichai (lemongrass)

? Majani haya hutumika kama mbadala wa majani ya chai. Yana harufu nzuri na rangia ya kuvutia pindi yakitumiwa kama mbadala wa majani ya chai.

1. husaiadia katika kuboresha mfumo wa meng’enyo wa chakula

2. Mchaichai una virutubisho kama vitamini C na A, pia una madini

3. Hutumika kama dawa ya kukosa choo, kujaa kwa gesi na kuvimbiwa

4. Husaidia kutoa sumu mwilini

5. Husaidia katika kudhibiti presha ya damu na kuishusha

6. Husaidia katika kusafisha ini

7. Huboresha afya ya moyo.

8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini

9. Huimarisha na kuboresha afya ya ngozi na nywele

10. Husaidia katika kutibu mafua na homa ya mafua

11. Hupunguza maumivu ya chango la kinamama.

?

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1765

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kula mayai
Faida za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K
Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuoambana na mafua
Vyakula vya kuoambana na mafua

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi

Soma Zaidi...
VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI
VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI

hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi

Soma Zaidi...