Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Faida za Mchaichai (lemongrass)
? Majani haya hutumika kama mbadala wa majani ya chai. Yana harufu nzuri na rangia ya kuvutia pindi yakitumiwa kama mbadala wa majani ya chai.
1. husaiadia katika kuboresha mfumo wa meng’enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho kama vitamini C na A, pia una madini
3. Hutumika kama dawa ya kukosa choo, kujaa kwa gesi na kuvimbiwa
4. Husaidia kutoa sumu mwilini
5. Husaidia katika kudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia katika kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo.
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huimarisha na kuboresha afya ya ngozi na nywele
10. Husaidia katika kutibu mafua na homa ya mafua
11. Hupunguza maumivu ya chango la kinamama.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...