Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Faida za Mchaichai (lemongrass)
? Majani haya hutumika kama mbadala wa majani ya chai. Yana harufu nzuri na rangia ya kuvutia pindi yakitumiwa kama mbadala wa majani ya chai.
1. husaiadia katika kuboresha mfumo wa meng’enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho kama vitamini C na A, pia una madini
3. Hutumika kama dawa ya kukosa choo, kujaa kwa gesi na kuvimbiwa
4. Husaidia kutoa sumu mwilini
5. Husaidia katika kudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia katika kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo.
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huimarisha na kuboresha afya ya ngozi na nywele
10. Husaidia katika kutibu mafua na homa ya mafua
11. Hupunguza maumivu ya chango la kinamama.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...