Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Njia ya uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume aweze kushiriki.
1. Njia ya kukata milija ambaye uruhusu mbegu kupitia kwenye uke kwenda kwenye sehemu ya kutungwa mimba,hii njia nayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango.hii njia ni Bora zaidi kwa sababu wapenzi ufanya tendo la ndoa bila wasiwasi wa kupata mimba na ufanya kuwepo kwa uaminifu kwa mwanamke na mwanaume. Ila njia hii haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono na Maambukizi ya virusi vya Ukimwi Bali uzuia mbegu kutoka kwa Baba kwenda kwa Mama.
2. Njia ya kumwaga mbegu
Ni njia ambayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango ambapo wakati wa kujamiiana mwanaume akisikia tu mbegu zinakua umwaga nje mbegu Ili kuepuka kuziingiza kwa Mama na kusababisha kupata mtoto asiye tarajiwa, njia hii ni nzuri ila Haina uhakika kamili kwa sababu mbegu nyingine zinaweza kutangulia kabla bila kuzisikia au nyingine zinaweza kubaki baada ya Mwanaume kumwaga na kusababisha mimba kutungwa. Hii njia haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono au maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni Bora kutumia condom Ili kuzuia mimba zisizotarajiwa.
3. Kutumia London, ni njia ambazo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango kwa sababu mwanaume Naya uvaa kondomu wakati wa kujamiiana hii ufanya mbegumbegu za baba kushindwa kuingia kwenye vagina kwa sababu mbegu zote ubaki kwenye kondomu kwa hiyo Ni vigumu mtu kupata hepatitis.njia hii ni mojawapo ya njia pekee ambayo uzuia magonjwa ya ngono na Ukimwi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa
Soma Zaidi...Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...