Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Njia ya uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume aweze kushiriki.
1. Njia ya kukata milija ambaye uruhusu mbegu kupitia kwenye uke kwenda kwenye sehemu ya kutungwa mimba,hii njia nayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango.hii njia ni Bora zaidi kwa sababu wapenzi ufanya tendo la ndoa bila wasiwasi wa kupata mimba na ufanya kuwepo kwa uaminifu kwa mwanamke na mwanaume. Ila njia hii haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono na Maambukizi ya virusi vya Ukimwi Bali uzuia mbegu kutoka kwa Baba kwenda kwa Mama.
2. Njia ya kumwaga mbegu
Ni njia ambayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango ambapo wakati wa kujamiiana mwanaume akisikia tu mbegu zinakua umwaga nje mbegu Ili kuepuka kuziingiza kwa Mama na kusababisha kupata mtoto asiye tarajiwa, njia hii ni nzuri ila Haina uhakika kamili kwa sababu mbegu nyingine zinaweza kutangulia kabla bila kuzisikia au nyingine zinaweza kubaki baada ya Mwanaume kumwaga na kusababisha mimba kutungwa. Hii njia haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono au maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni Bora kutumia condom Ili kuzuia mimba zisizotarajiwa.
3. Kutumia London, ni njia ambazo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango kwa sababu mwanaume Naya uvaa kondomu wakati wa kujamiiana hii ufanya mbegumbegu za baba kushindwa kuingia kwenye vagina kwa sababu mbegu zote ubaki kwenye kondomu kwa hiyo Ni vigumu mtu kupata hepatitis.njia hii ni mojawapo ya njia pekee ambayo uzuia magonjwa ya ngono na Ukimwi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid)
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi... Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...