Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Njia ya uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume aweze kushiriki.
1. Njia ya kukata milija ambaye uruhusu mbegu kupitia kwenye uke kwenda kwenye sehemu ya kutungwa mimba,hii njia nayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango.hii njia ni Bora zaidi kwa sababu wapenzi ufanya tendo la ndoa bila wasiwasi wa kupata mimba na ufanya kuwepo kwa uaminifu kwa mwanamke na mwanaume. Ila njia hii haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono na Maambukizi ya virusi vya Ukimwi Bali uzuia mbegu kutoka kwa Baba kwenda kwa Mama.
2. Njia ya kumwaga mbegu
Ni njia ambayo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango ambapo wakati wa kujamiiana mwanaume akisikia tu mbegu zinakua umwaga nje mbegu Ili kuepuka kuziingiza kwa Mama na kusababisha kupata mtoto asiye tarajiwa, njia hii ni nzuri ila Haina uhakika kamili kwa sababu mbegu nyingine zinaweza kutangulia kabla bila kuzisikia au nyingine zinaweza kubaki baada ya Mwanaume kumwaga na kusababisha mimba kutungwa. Hii njia haizuii maambukizi ya Magonjwa ya ngono au maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni Bora kutumia condom Ili kuzuia mimba zisizotarajiwa.
3. Kutumia London, ni njia ambazo umfanye mwanaume kushiriki kwenye kazi ya uzazi wa mpango kwa sababu mwanaume Naya uvaa kondomu wakati wa kujamiiana hii ufanya mbegumbegu za baba kushindwa kuingia kwenye vagina kwa sababu mbegu zote ubaki kwenye kondomu kwa hiyo Ni vigumu mtu kupata hepatitis.njia hii ni mojawapo ya njia pekee ambayo uzuia magonjwa ya ngono na Ukimwi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.
Soma Zaidi...Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Soma Zaidi...Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote.
Soma Zaidi...Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.
Soma Zaidi...