Dalili za Homa ya uti wa mgongo (meningitis)

Dalili za Homa ya uti wa mgongo (meningitis)

Posti hii inahusu zaidi dalili za Homa ya uti wa mgongo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye maambukizi kwenye uti wa mgongo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za ugonjwa wa Homa ya uti wa mgongo.

1.Maumivu ya kichwa.

  Tunajua kuwa uti wa mgongo umeenda mpaka kwenye kichwa na pengine maambukizi ujitokeza kwenye sehemu ambayo ufunika ubongo kwa hiyo maumivu ya kichwa utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye uti wa mgongo na kwenye sehemu ya kichwa inayofunika ubongo, kwa Sababu bakteria na virusi amba usababisha ugonjwa huu ushambulia sana uti wa mgongo na sehemu ya kichwa  hiyo usababisha kichwa kuuma kwa sababu ya maambukizi.

 

2.Mgonjwa mwenye Homa ya uti wa mgongo uhisi kizunguzungu, hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kichwa ambapo bakteria na virusi ushambulia kwenye sehemu za mfumo wa ubongo na kusababisha kizunguzungu kwa mgonjwa.

 

3. Hamu ya kula upungua

Mtu mwenye matatizo ya Homa ya uti wa mgongo usababisha hamu ya kula kupungua kwa sababu ya maambukizi ambayo utokea kwa mgonjwa na kusababisha hamu ya kula kupungua na kusababisha mgonjwa hashindwe  kula chakula

 

4. Degedege hasa kwa watoto

Homa ya uti wa mgongo usababisha degedege hasa kwa watoto utokea sana ukiulinganisha na watu wazima, kwa sababu ya maambukizi kwenye ubongo mawasiliano ya ubongo na misuli upungua mtu mzima au mtoto ushikwa na degedege na kusababisha madhara makubwa kwa mgonjwa na watu waliomzunguka.

 

5. Homa upanda.

Ugonjwa wa Homa ya uti wa mgongo usababisha Homa kupanda kuliko kawaida hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye mwili, Homa kupanda ni kwa sababu system za kwenye mwili zinakuwa sio sawa na hivyo kusababisha Homa kupanda.

 

6. Kukakama kwa shingo.

Hali hii utokea pale ambapo maambukizi yameenea na kusababisha shingo kukakamaa na kuwa fupi kuliko kawaida, hii pengine inawezekana kuwa sababu ya kukaza kwa misuli kwa sababu ya maambukizi yaliyosambaa mpaka kwenye shingo na kusababisha shingo kukukamaa au pengine ni kwa sababu ya degedege ambayo usababisha shingo kukukamaa.

 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1749

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Sababu za miguu kufa ganzi.
Sababu za miguu kufa ganzi.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.

Soma Zaidi...
Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )
Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.

Soma Zaidi...
    Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.
Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.

Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.

Soma Zaidi...
Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali
Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona

Soma Zaidi...
 Ugonjwa wa kuchelewa kuganda kwa Damu unaojulikana Kama hemophilia.
Ugonjwa wa kuchelewa kuganda kwa Damu unaojulikana Kama hemophilia.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.

Soma Zaidi...
DALILI ZA UTUMBO KUZIBA
DALILI ZA UTUMBO KUZIBA

Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk

Soma Zaidi...
Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa

Soma Zaidi...
Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo
Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo

Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu

Soma Zaidi...