CSS - somo la 5: Njia tano zinazotumika kuweka rangi kwenye css

Katika somo hili utajifunza aina tano za kuweka rangi kw akutumia css

Tumesha jifunza katika masomo ya nyuma jinsi ya kuweka rangi. Rangi inaweza kuwa ni kwa ajilia backround ama kwa ajii ya text. Kama tulivyojifunza huko awali, property background hutumika kwa ajili ya ku set rangi kwa ajili ya background, na propert ya color hutumika ku set rangi ya text

p{

   background: black;

   color: blue;

}

 

Tofauti na hizo mbili kuna nyingine ya kuweka rangi kwenye borders. Hii inaitwa border 

Mfano:

p{

   border: solid #d00c0c;

}

 

Namna za uwekaji warangi

Katika css kuna aina tano za kuweka rangi kwenye faii la html. Njia hizo ni :-

 

  1. Kwa kutumia jina la rangi
  2. Kwa kutumia Hex color
  3. Kwa kutumia RGB
  4. Kwa kutumia HSL
  5. Kwa kutumia HSLA


 

  1. Kwa kutumia jina la rangi:

Kwa kutumia jina la rangi ni kama tulivyofanya hapo juu. Utaitaja rangi hyo kwa jina. Jambo la msingi ni kujuwa tu majina ya hizo rangi kwa ufasaha. Mfano red, blue, black, yellow, green, purple n.k. Nikama tulivyofanya hapo juu.

p{

   background: black;

   color: blue;

}

 

2. Kwa kutumia Hex color

Kuna baadhi ya rangi majina yake huyajui, saa utatumia thamani zake za hex color. Hex color zipo katika namna mbili ambzo ni kwa kutumia herufi ama kwa kutumia namba. Njia yeyote utakayotumia utaanza na alama ya reli yaani hash #. Baada ya kuandika # itafuatiwa na character 6 kama ni herufi ziwe 6 na kama ni namba ziwe 6. 

Mfano:

p{

   background: #000000;

   color: #160ee7;

}

Unaweza kuzi generate mwenyewe kwenye text editor. Ama w3schools wanayo system ya ku generate hex color free.

 

3. Kwa kutumia RGB

RGB ni kifupisho cha maneno Red, Green, Blue. kwa hiyo ni kitendo cha kuchanganya rangi hizo tatu ili kupata rangi nyingine. Kwa mfano ukicanganya rangi nyekundu, ya kijani na buluu kwa uwiano sawa utapata rangi nyeupe.

p{

   background: rgb(255, 255, 255);

   color: rgb(0,0,0);

}

 

Kwenye css editor itaonekana hivy">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: CSS Main: ICT File: Download PDF Views 1805

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

CSS - SOMO LA 10: Box Model katika CSS

Katika somo hili utajifunza muundo wa boksi (Box Model) katika CSS. Box model ni mfumo wa msingi wa kupanga vipengele katika ukurasa wa HTML, ukiwa na sehemu kuu nne: content, padding, border, na margin.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 33: CSS Frameworks

Katika somo hili tutajifunza kuhusu CSS frameworks mbalimbali zinazosaidia kuharakisha uundaji wa mitindo kwenye tovuti. Tutazungumzia frameworks maarufu kama W3.CSS, Bootstrap, Google Fonts, na nyinginezo, faida, matumizi, na tofauti zao.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 3: syntax za css yaani sheria za uandishi wa css

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css

Soma Zaidi...
CSS - somo la 34: if() Condition katika CSS

Katika somo hili, tutajifunza kipengele kipya kinachoitwa if() function ndani ya CSS, kilichoanza kupatikana kwenye toleo la Chrome 137. Kipengele hiki kinaturuhusu kuandika mantiki ya masharti moja kwa moja kwenye property ya CSS, bila kutumia JavaScript wala media query zilizotawanyika. Tutajifunza pia aina za queries: media(), supports(), na style() pamoja na matumizi yao ya kivitendo kwenye tovuti. Mwisho, tutaeleza kwa kina kuhusu pointer na any-pointer.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 19: Pseudo-classes na Pseudo-elements

Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 13: Display Property

Katika somo hili utajifunza kuhusu property muhimu ya CSS inayoitwa display, ambayo huamua jinsi element inavyoonyeshwa kwenye ukurasa. Tutachambua aina kuu za display: block, inline, inline-block, na none.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 23: Uelewa Zaidi wa CSS Animation na Transition

Somo hili linakuletea ufahamu wa kina juu ya CSS Transitions na Animations, likifafanua vipengele vyake muhimu, matumizi, na namna ya kutumia properties mbalimbali za animation kwa ufanisi katika kurahisisha muonekano na mtumiaji wa tovuti.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 14: Position Property

Katika somo hili utajifunza kuhusu property ya position katika CSS, ambayo hutumika kuamua jinsi element inavyowekwa ndani ya ukurasa. Tutajifunza aina tano kuu za position: static, relative, absolute, fixed, na sticky.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 12: Width, Height, Max/Min Width na Overflow

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti upana (width) na urefu (height) wa elementi katika CSS. Pia utaelewa tofauti kati ya max-width, min-width, na jinsi overflow inavyodhibiti tabia ya content inayoizidi element.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 30: CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.

Soma Zaidi...