picha

CSS - somo la 5: Njia tano zinazotumika kuweka rangi kwenye css

Katika somo hili utajifunza aina tano za kuweka rangi kw akutumia css

Tumesha jifunza katika masomo ya nyuma jinsi ya kuweka rangi. Rangi inaweza kuwa ni kwa ajilia backround ama kwa ajii ya text. Kama tulivyojifunza huko awali, property background hutumika kwa ajili ya ku set rangi kwa ajili ya background, na propert ya color hutumika ku set rangi ya text

p{

   background: black;

   color: blue;

}

 

Tofauti na hizo mbili kuna nyingine ya kuweka rangi kwenye borders. Hii inaitwa border 

Mfano:

p{

   border: solid #d00c0c;

}

 

Namna za uwekaji warangi

Katika css kuna aina tano za kuweka rangi kwenye faii la html. Njia hizo ni :-

 

  1. Kwa kutumia jina la rangi
  2. Kwa kutumia Hex color
  3. Kwa kutumia RGB
  4. Kwa kutumia HSL
  5. Kwa kutumia HSLA


 

  1. Kwa kutumia jina la rangi:

Kwa kutumia jina la rangi ni kama tulivyofanya hapo juu. Utaitaja rangi hyo kwa jina. Jambo la msingi ni kujuwa tu majina ya hizo rangi kwa ufasaha. Mfano red, blue, black, yellow, green, purple n.k. Nikama tulivyofanya hapo juu.

p{

   background: black;

   color: blue;

}

 

2. Kwa kutumia Hex color

Kuna baadhi ya rangi majina yake huyajui, saa utatumia thamani zake za hex color. Hex color zipo katika namna mbili ambzo ni kwa kutumia herufi ama kwa kutumia namba. Njia yeyote utakayotumia utaanza na alama ya reli yaani hash #. Baada ya kuandika # itafuatiwa na character 6 kama ni herufi ziwe 6 na kama ni namba ziwe 6. 

Mfano:

p{

   background: #000000;

   color: #160ee7;

}

Unaweza kuzi generate mwenyewe kwenye text editor. Ama w3schools wanayo system ya ku generate hex color free.

 

3. Kwa kutumia RGB

RGB ni kifupisho cha maneno Red, Green, Blue. kwa hiyo ni kitendo cha kuchanganya rangi hizo tatu ili kupata rangi nyingine. Kwa mfano ukicanganya rangi nyekundu, ya kijani na buluu kwa uwiano sawa utapata rangi nyeupe.

p{

   background: rgb(255, 255, 255);

   color: rgb(0,0,0);

}

 

Kwenye css editor itaonekana hivy">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-21 Topic: CSS Main: ICT File: Download PDF Views 2013

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

CSS - somo la 2: Jinsi ya ku weka code za css kwenye HTML

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 17: Flexbox Advanced

Katika somo hili, utajifunza vipengele vya juu zaidi vya Flexbox: flex-wrap, flex-grow, flex-shrink, na flex-basis. Pia tutajifunza jinsi ya kujenga muundo wa safu (rows) na nguzo (columns) kwa kutumia Flexbox layout.

Soma Zaidi...
CSS - somo la 3: syntax za css yaani sheria za uandishi wa css

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 20: Media Queries na Responsive Design

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kutumia media queries kwa ajili ya kutengeneza tovuti zinazojibadilisha kulingana na ukubwa wa skrini. Tutazungumzia @media rules, breakpoints, na dhana ya mobile-first design.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 29: CSS z-index na Stacking Context

Katika somo hili tutajifunza kuhusu z-index, ambayo hutumika kudhibiti ni elementi ipi ionekane juu au chini wakati kuna elementi nyingi zinazofunika sehemu moja. Pia tutajifunza kuhusu stacking context, yaani jinsi vivinjari vinavyopanga

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 27: Kutumia @import Katika CSS

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu @import — amri inayotumika kuingiza faili moja la CSS ndani ya jingine. Tutaona namna ya kuitumia, faida zake, hasara zake, na tofauti kati yake na njia mbadala ya <link> ndani ya HTML.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 32: Custom Fonts na @font-face

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia fonts za kipekee (custom fonts) katika tovuti kwa kutumia njia mbili kuu: Google Fonts na @font-face. Tutajifunza pia sababu za kutumia fonts maalum, faida zake, na jinsi ya kuzidhibiti kwenye CSS.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 15: Float na Clear katika CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia float ili kupanga elementi upande wa kushoto (left) au kulia (right). Pia utajifunza jinsi ya kutumia clear kuondoa athari za float na kuhakikisha layout yako inabaki thabiti.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 21: CSS Units

Katika somo hili, utajifunza vipimo vinavyotumika kwenye CSS kama vile px, em, rem, %, vw, na vh. Vipimo hivi hutumika kuweka ukubwa wa maandishi, padding, margin, urefu, na upana wa vipengele kwenye tovuti.

Soma Zaidi...
CSS - SOMO LA 8: Upambaji wa Maandishi (Text Styling)

Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari, kivuli, nafasi kati ya herufi, na mpangilio wa maneno.

Soma Zaidi...