PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Hii ni course mpya inayotarajiwa kufundishwa kwenye mafunzo yetu. Lengo la course hii ni kukufundisha jinsi ya kutengeneza blog yako kwa kutumia PHP, HTML, CSS, SQL na MySQL databae.

 

Course hii ni rahisi na imetokana na mafunzo ya php level 3 pamoja na mafunzo ya database level 1. Kkabla hujaianza course hii hakikisha umepata mafunzo ya HTML, PHP na SQL kutoka kwenye mfaunzo yetu ya ICT.

 

Course hii itajikita kwenye mambo kadha kama:-

  1.  kutengeneza bloga mwanzo hadi mwisho backend na front end
  2. Kutengeneza system ya admin pannel ya blog
  3. kuweka mifumo ya notification, na teknolojia nyingine
  4. kutumia email kwa ajili ya kutuma taarifa kwa subscribers
  5. kuweza kuimarisha mfumo wa usalama katika blog
  6. ku encrypt na ku decrypt taarifa kwenye admin pannel
  7. mfumo wa kudhibiti mafaili ili kuweza ku download na ku share

Course hii itapatikana kwa njia ya text pia utaweza kuangaia video moja kwa moja kwenye channel yetu ya youtube tehama-tz

 

Mahitaji ya kujifunzia

Utahitajika kuwa na kifaa kama simu ama komputa ambayo imesha andaliwa kwa ajili ya kutumia php na database. Tunashauri utumie moja katika software hizi zifuatazo:

1. Kwa watumiaji wa Simu

Kama wewe unatumia simu basi fuata maelekezo haya ili kuweza kuandaa simu yako kwa ajili ya mafunzo. Hapa nitakuletea list za App ambazo inatakiwa uwe nazo. List">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1485

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...