picha

Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo.

Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.

Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo na dalili zake na jinsi ya kuzuia.

1. Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo, utokea sana kwa watu wanaoishi sehemu za ziwani au kwenye majimaji mbalimbali na mnyoo huyo kwa kitaalamu huitwa Necatir Americans na Aina hii ya upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo huitwa Hookworms Anemea.

Dalili za mgonjwa wa Anemia inayosababishwa na minyoo.

-ukifunua kwenye jicho utakuta Kuna weupe na kiasi kidogo Cha damu kinachoonekana na kama damu Iko kidogo jicho uonekana jeupe kabisa na pia kwenye mikono huwa nyeupe kuliko kawaida na hivyo hivyo kwenye ulimi hali ya ulimi uwa nyeupe kuliko kawaida na midomoni hasa kwenye lips napi pia uwa peupe.

 

2. Mgonjwa wa kupungukiwa damu usikia uchovu, hii ni kwa sababu damu ndiyo inayohusika na kusafisha chakula pamoja na hewa ya oksijeni kwa hiyo vitu hivyo vikikosa mwilini na kuwepo kwa kiwango kidogo lazima mwili utakosa chakula na hewa itakuwa ndogo kwa hiyo mtu ataanza kusikia uchovu mara kwa mara na kushindwa kufanya kazi zake za kila siku hatimaye kama damu haitaongezewa haraka anaweza kuzimia .

 

3.Dalili za moyo kushindwa kufanya kazi ujitokeza.

Hii ni pamoja na mapigo ya moyo kubadilika yanaweza kwenda mbio kwa Sababu ya kutumia nguvu kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kuliko kawaida kwa sababu damu haifiki sehemu zote na siyo ya kutosha kwa hiyo moyo utumia nguvu Ili kusfilisha damu kila mahali hali ambayo usababisha mishipa ya damu kupasuka na kusababisha madhara makubwa.

 

4. Kiasi Cha madini ya chuma kupungua.

Kama mtu ana upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo kiasi Cha madini ya chuma upungua kwa kiasi kikubwa kwenye damu hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa minyoo kwenye mwili ambao usababisha kupungua kwa madini ya chuma.

 

5. Kupumua kwa shida.

Kupumua kwa shida utokea kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye damu, tukumbuke kuwa kazi ya damu ni kubeba hewa kutoka kwenye mapafu kwenda sehemu mbalimbali za mwili na kwa sababu ya maambukizi hewa haitoshi kwa hiyo lazima mgonjwa atapumua kwa shida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye mwili.

 

6.Mapigo ya moyo upungua.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mwili na idadi ya damu kwenye mwili ni kidogo na mapigo ya moyo upungua kwa sababu ya kupungua kwa kiwango Cha damu mwilini.

 

Angalisho:tunajua kuwa damu ni muhimu mwilini na ikipungua ni hatari sana kwenye mwili kwa hiyo tuwe makini ikiwa damu itapungua kuliko kawaida na tule vyakula vya kuongeza damu na pia tutumie sana dawa za kuua minyoo inayosababishwa upungufu wa damu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/11/Saturday - 12:28:31 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2681

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Saratani ya Matiti ya wanaume.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y

Soma Zaidi...
Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu

Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanz akwa liyeshambuliwa na pumu

Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.

Soma Zaidi...
Fahamu Dalili za Ugonjwa wa Bawasiri

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze

Soma Zaidi...
VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA 1.

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani

Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.

Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.

Soma Zaidi...
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.

Soma Zaidi...