Maana ya kumuamini mwenyezi Mungu (s.w) katika maisha ya kila siku
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Maana ya Kumuamini Mwenyezi (s.w) katika maisha ya kila siku.
Ni kumpwekesha Mwenyezi Mungu (s.w) kwa kufuata barabara mwongozo wake katika utendaji wa wetu wa kila kipengele cha maisha yetu ya kila siku kwa kufanya moja kati ya mambo yafuatayo;
- Kusimamisha Tawhiid (Umoja na Upweke wa Mwenyezi Mungu) na
- Kujiepusha na Shirk za aina zote.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Madrasa kiganjani π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 kitabu cha Simulizi π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Kitabu cha Afya
π1 Madrasa kiganjani π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 kitabu cha Simulizi π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Kujiepusha na maringo na majivuno
Maringo, majivuno, majigambo, dharau ni vipengele vya kibri.
Soma Zaidi...Elimu ya mwingozo na elimu ya mazingira katika uislamu
Mahusiano kati ya elimu ya mwongizo na elimu ya mazingira katika uislamu.
Soma Zaidi...