Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.
Walio kwenye hatari ya kupata UTI
1.Mkojo kubaki kwenye kibofu Cha mkojo baada ya kukojoa, tukumbuke kwenye mkojo Kuna bakteria ambao ukaa ndani ya mkojo, kwa hiyo mtu yeyote akikojoa na bakteria hao Wakabaki ukua na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo bakteria hai ukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo na atimaye mtu Upata UTI.
2. Kutokunywa maji au kunywa maji kidogo.
Ikitokea Mtu akawa hanywi maji au anakunywa maji kidogo usababisha bakteria kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo , kwa sababu mtu anapokunywa maji usaidia kupunguza bakteria kwenye kibofu Cha mkojo lakini mtu hasipokunywa maji bakteria ubaki na kukua na kusambaa kwenye kibofu Cha mkojo, tatizo hili uwapata watu wale wanaotumia pombe badala ya maji na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
3. Kama mkojo ni alkaline sana usababisha wadudu waendelee kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo. Hii utokea kwa watu wale ambao mkojo wao ni alkaline sana kuliko asidi bakteria ukaa hump na kukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kibofu, kwa hiyo maji ni lazima Ili kuweza kufanya kiasi Cha alkaline na asidi viwe sawia kwa hiyo tujitahidi kurekebisha kiasi Cha alkaline kwenye mkojo.
4. Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu.
Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu usababisha maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na na kusababisha madhara makubwa katika kibofu Cha mkojo, ambapo bakteria usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa hiyo maambukizi uongezeka.
5. Kutotahiriwa kwa wavulana.
Kama wavulana hawajatahiliwa wadudu wanaweza kukaa kwenye ngozi ya kiume ambayo haijatahiriwa na kukua na kukomaa hatimaye kusambaa sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha ugonjwa wa UTI.
6. Kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Watu wale wanaotawadha kutoka nyuma kwenda mbele wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu wadudu utoka kwenye kinyesi na kuingia kwenye kibofu Cha mkojo na Maambukizi yanaweza kuenea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na UTI ni shida kupona kwa watu ambao utawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini
Soma Zaidi...hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia
Soma Zaidi...Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Vidonda vya tumbo ni vidonda vilivyo wazi vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa umio, tumbo na sehemu ya juu ya utumbo wako. Dalili ya kawaida ya Peptic ulcer ni maumivu ya tumbo. Vidonda vya tumbo ni pamoja na: Vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani
Soma Zaidi...post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,
Soma Zaidi...