picha

Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Walio kwenye hatari ya kupata UTI

1.Mkojo kubaki kwenye kibofu Cha mkojo baada ya kukojoa, tukumbuke kwenye mkojo Kuna bakteria ambao ukaa ndani ya mkojo, kwa hiyo mtu yeyote akikojoa na bakteria hao Wakabaki ukua na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo bakteria hai ukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo na atimaye mtu Upata UTI.

 

2. Kutokunywa maji au kunywa maji kidogo.

Ikitokea Mtu akawa hanywi maji au anakunywa maji kidogo usababisha bakteria kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo , kwa sababu mtu anapokunywa maji usaidia kupunguza bakteria kwenye kibofu Cha mkojo lakini mtu hasipokunywa maji bakteria ubaki na kukua na kusambaa kwenye kibofu Cha mkojo, tatizo hili uwapata watu wale wanaotumia pombe badala ya maji na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

 

3. Kama mkojo ni alkaline sana usababisha wadudu waendelee kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo. Hii utokea kwa watu wale ambao mkojo wao ni alkaline sana kuliko asidi bakteria ukaa hump na kukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kibofu, kwa hiyo maji ni lazima Ili kuweza kufanya kiasi Cha alkaline na asidi viwe sawia kwa hiyo tujitahidi kurekebisha kiasi Cha alkaline kwenye mkojo.

 

4. Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu.

Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu usababisha maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na na kusababisha madhara makubwa katika kibofu Cha mkojo, ambapo bakteria usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa hiyo maambukizi uongezeka.

 

5. Kutotahiriwa kwa wavulana.

Kama wavulana hawajatahiliwa wadudu wanaweza kukaa kwenye ngozi ya kiume ambayo haijatahiriwa na kukua na kukomaa hatimaye kusambaa sehemu mbalimbali za  mwili na kusababisha ugonjwa wa UTI.

 

6. Kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.

Watu wale wanaotawadha kutoka nyuma kwenda mbele wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu wadudu utoka kwenye kinyesi na kuingia kwenye kibofu Cha mkojo na Maambukizi yanaweza kuenea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na UTI ni shida kupona kwa watu ambao utawadha kutoka nyuma kwenda mbele.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1680

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰3 ai web app     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰5 web hosting     πŸ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Saratani ya tezi dume (Prostate Cancer): Dalili za mwanzo kwa wanaume.

Saratani ya tezi dume ndiyo saratani ya kawaida zaidi kwa wanaume duniani kote. Ingawa inaweza kutisha, saratani hii inatibika vyema ikiwa itagunduliwa katika hatua za mwanzo. Makala haya yanalenga kutoa elimu muhimu kuhusu dalili za mwanzo, mambo yanayoongeza hatari, na umuhimu wa wanaume kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kulinda afya zao.

Soma Zaidi...
Dalili za Mimba Baada ya Ovulation

Kipindi cha baada ya yai kupevuka (ovulation) na kabla ya siku zako za hedhi kutarajiwa (drip-wait period) ni kipindi cha kusisimua kwa mwanamke anayetafuta mtoto. Makala hii inaelezea dalili za mapema ambazo mwili unaweza kuzionyesha mara baada ya yai kurutubishwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba, yakikusaidia kuelewa mabadiliko ya kibaolojia yanayoendelea.

Soma Zaidi...
Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri

Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.

Soma Zaidi...
Dalili kwa mtu anayeharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.

Soma Zaidi...
Sababu za Kutokwa na Uchafu Ukeni

Posti hii inachunguza hali ya kawaida ya kutokwa na uchafu ukeni, ikitofautisha kati ya uchafu wa kawaida (wa kisaikolojia) na ule unaoashiria matatizo ya kiafya. Tutajadili visababishi vikuu, dalili za hatari, na umuhimu wa kuona daktari kwa uchunguzi sahihi.

Soma Zaidi...
Mambo Yanayoharibu Mahusiano Kimya Kimya

​Mahusiano mengi hayavunjiki kwa sababu ya matukio makubwa ya ghafla, bali kwa sababu ya mambo madogo yanayokusanyika kwa muda na kusababisha mmomonyoko wa upendo na uaminifu. Makala hii inachunguza "wauaji wa mahusiano" wasioonekana waziwazi na namna ya kuwazuia kabla hayajafika mwisho.

Soma Zaidi...