Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.
Walio kwenye hatari ya kupata UTI
1.Mkojo kubaki kwenye kibofu Cha mkojo baada ya kukojoa, tukumbuke kwenye mkojo Kuna bakteria ambao ukaa ndani ya mkojo, kwa hiyo mtu yeyote akikojoa na bakteria hao Wakabaki ukua na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo bakteria hai ukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo na atimaye mtu Upata UTI.
2. Kutokunywa maji au kunywa maji kidogo.
Ikitokea Mtu akawa hanywi maji au anakunywa maji kidogo usababisha bakteria kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo , kwa sababu mtu anapokunywa maji usaidia kupunguza bakteria kwenye kibofu Cha mkojo lakini mtu hasipokunywa maji bakteria ubaki na kukua na kusambaa kwenye kibofu Cha mkojo, tatizo hili uwapata watu wale wanaotumia pombe badala ya maji na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
3. Kama mkojo ni alkaline sana usababisha wadudu waendelee kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo. Hii utokea kwa watu wale ambao mkojo wao ni alkaline sana kuliko asidi bakteria ukaa hump na kukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kibofu, kwa hiyo maji ni lazima Ili kuweza kufanya kiasi Cha alkaline na asidi viwe sawia kwa hiyo tujitahidi kurekebisha kiasi Cha alkaline kwenye mkojo.
4. Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu.
Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu usababisha maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na na kusababisha madhara makubwa katika kibofu Cha mkojo, ambapo bakteria usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa hiyo maambukizi uongezeka.
5. Kutotahiriwa kwa wavulana.
Kama wavulana hawajatahiliwa wadudu wanaweza kukaa kwenye ngozi ya kiume ambayo haijatahiriwa na kukua na kukomaa hatimaye kusambaa sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha ugonjwa wa UTI.
6. Kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Watu wale wanaotawadha kutoka nyuma kwenda mbele wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu wadudu utoka kwenye kinyesi na kuingia kwenye kibofu Cha mkojo na Maambukizi yanaweza kuenea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na UTI ni shida kupona kwa watu ambao utawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo.
Soma Zaidi...Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk
Soma Zaidi...kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan
Soma Zaidi...Maumivu ya magoti ni malalamiko ya kawaida ambayo huathiri watu wa umri wote. Maumivu ya goti yanaweza kuwa matokeo ya jeraha, kama vile ligament iliyopasuka au cartilage iliyochanika.
Soma Zaidi...HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.
Soma Zaidi...posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr
Soma Zaidi...maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri
Soma Zaidi...