Menu



Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

1. Kuwepo kwa umakini wakati wa kufanya upasuaji ili kuzuia makosa ya kukata viungo vingine visivyohusiana na upasuaji ambavyo kwa kawaida ndicho utoa sana damu, kwa hiyo wanapaswa kuandaliwa wataalamu wenye ujuzi ili kuweza kuepuka usumbufu ambao utokea kwa wagonjwa hasa hali ya kutoka damu ambapo ikizidi usababisha mgonjwa kupoteza kiwango cha dumu natimaye kupoteza maisha 

 

 

2. Kuhakikisha kuwa Mama ana maji ya kutosha mwilini na na madini ya kutosha kabla hajaenda kwa sababu anapofanyia upasuaji anapoteza damu na maji pia na madini upungufu a na saa nyingine mgonjwa anaweza kuzimia, ni vizuri kabisa kuwa mgonjwa anapaswa kuwa na maji kabla ya upasuaji, wakati wa upasuaji ili kuepusha hali hiii ambayo ni kupoteza maji na kusababisha madhara makubwa

 

 

3. Pia wataalamu wa afya wanapaswa kumweka mgonjwa kwenye mkao mzuri  wakati wa upasuaji ili kuepuka hali ya maji maji kwenye mfumo wa hewa pia wanapaswa  kuwa na kifaa cha kuvuta maji maji ambayokama yameinga kwenye mfumo wa hewa na kuweza kumwacha mgonjwa salama 

 

 

4, Na pia mgonjwa aliyepaswa kujua mzio wowote kuhusiana na dawa anapaswa kutumia ili kuweza kuepuka madhara yatokanayo na  kwa hiyo mkunga anapaswa kumuuliza Mgonjwaç na pia kuchukua history kuhusu dawa kama ashawahi kuzitumia kwa hiyo wote wanapaswa kuwa macho ili kuhakikisha kuw mgonjwa amepata huduma inayostahili

.

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 726

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kahawia sana na unatoa arufu

Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
CHUKUWA TAHADHARI KWENYE SHUGHULI ZAKO KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Zijue sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji

Post hii inahusu zaidi sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji kina sehemu kuu nne na sehemu hizo ufanya kazi tofauti tofauti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka magonjwa ya figo

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo

Soma Zaidi...
DALILI ZA KUTOKA AU KUHARIBIKA KWA MIMBA

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
KWA NINI MBU HAWEZI KUAMBUKIZA HIV (UKIMWI)

Tumekusha kuona na kujua kuwa mbu anaweza kuambukiza maradhi mengi na ya virusi kama zika.

Soma Zaidi...
kitabu cha afya

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...