image

Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

1. Kuwepo kwa umakini wakati wa kufanya upasuaji ili kuzuia makosa ya kukata viungo vingine visivyohusiana na upasuaji ambavyo kwa kawaida ndicho utoa sana damu, kwa hiyo wanapaswa kuandaliwa wataalamu wenye ujuzi ili kuweza kuepuka usumbufu ambao utokea kwa wagonjwa hasa hali ya kutoka damu ambapo ikizidi usababisha mgonjwa kupoteza kiwango cha dumu natimaye kupoteza maisha 

 

 

2. Kuhakikisha kuwa Mama ana maji ya kutosha mwilini na na madini ya kutosha kabla hajaenda kwa sababu anapofanyia upasuaji anapoteza damu na maji pia na madini upungufu a na saa nyingine mgonjwa anaweza kuzimia, ni vizuri kabisa kuwa mgonjwa anapaswa kuwa na maji kabla ya upasuaji, wakati wa upasuaji ili kuepusha hali hiii ambayo ni kupoteza maji na kusababisha madhara makubwa

 

 

3. Pia wataalamu wa afya wanapaswa kumweka mgonjwa kwenye mkao mzuri  wakati wa upasuaji ili kuepuka hali ya maji maji kwenye mfumo wa hewa pia wanapaswa  kuwa na kifaa cha kuvuta maji maji ambayokama yameinga kwenye mfumo wa hewa na kuweza kumwacha mgonjwa salama 

 

 

4, Na pia mgonjwa aliyepaswa kujua mzio wowote kuhusiana na dawa anapaswa kutumia ili kuweza kuepuka madhara yatokanayo na  kwa hiyo mkunga anapaswa kumuuliza Mgonjwaç na pia kuchukua history kuhusu dawa kama ashawahi kuzitumia kwa hiyo wote wanapaswa kuwa macho ili kuhakikisha kuw mgonjwa amepata huduma inayostahili

.

 

 

 



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/17/Monday - 04:45:58 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 598


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII
Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii Soma Zaidi...

NJIA AMBAZO MARADHI HUAMBUKIZWA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

MAGONJWA NA AFYA
Soma Zaidi...

NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Nini hutokea unapokuwa kwenye ndoto ukiwa usingizini umelala
Ndoto ni moja ya mamba ambayo yanatokea mwanadamu na sayansi haina uelewa hasa nini hutokea. Hata hivyo yapo machache tafiti za kisayansi zinatueleza. Soma Zaidi...

Kitabu cha Afya 03
Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya. Soma Zaidi...

TAHADHARI KWENYE VYAKULA ILI KULINDA AFYA YAKO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

AFYA YA UZAZI NI NINI?, PIA UTAJIFUNZA MATATIZO YA HEDHI, KUTOKUPATA UJAUZITO, ULEZI WA MIMBA NA MTOTO, TEZI DUME NA NGIRI MAJI, NGUVU ZA KIUME
AFYA YA UZAZI Afya ya uzazi huweza kufungamana na mambo mengi sana. Soma Zaidi...

KITABU CHA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

darasa la afya
Soma Zaidi...

NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

dondoo za afya
Basi tambua haya;- 1. Soma Zaidi...