Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito
1. Mama akiwa mjamzito uzito ubadilika kulingana na miezi mbalimbali hii ni kwa sababu ya mtoto aliyetumboni na mabadiliko mbalimbali ya mwili.Katika wiki ya ishilini Uzito wa Mama uongezeka kwa 3.5kg na katika wiki za mwisho uzito uongezeka kwa kiasi Cha 9kg jumla ni 12. 5kg,kwa hiyo kwa ujumla kilo 12. 5kg kwa Mama mjamzito.
2. Vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama mjamzito kuongezeka ni pamoja na vyakula anavyokula kwa sababu Kuna akina Mama wengine wanaokula sana wakiwa na Mimba, maji ambayo Yamo kwenye mfuko wa uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa Amniotic fluid haya Maji uongeza sana uzito wa Mama akiwa na Mimba kwa sababu ni kitu ambacho hakikuwa kwenye mwili wake alipokuwa Hana mimba.
3.Vitu ambayo ufanya Uzito wa Mama kupungua.
Mama akiwa na Mimba Kuna vitu mbalimbali ambavyo ufanya Uzito wa Mama kupungua kama vile, kutapika na kuharisha usababisha Uzito wa Mama kupungua au magonjwa mbalimbali ambayo umfanya Mama kukosa hamu ya kula na kumfanya apungue uzito.
4. Kuna vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama kuongezeka,vitu hivyo ni kama ifuatavyo. Matiti yanakuwa na kilo 0.4kg,Adipose tissue zinakuwa na uzito wa 2.5kg, placenta inakuwa na uzito wa 0.6kg, Amniotic fluid inakuwa na uzito wa 0.8kg, mfuko wa uzazi inakuwa na uzito wa 0.9 kg, volume ya damu inakuwa na uzito wa 1.5 kg, maji mengine ya ziada yanakuwa na uzito wa 2.6kg, jumla ya uzito unaongezeka ni 12.5kg.
5. Uzito wa Mama uongezeka kwa kupitia vipindi vikuu viwili mpaka kuja kufukisha 12.5kg, kipindi Cha kwanza na Cha pili, kipindi Cha kwanza ni ni wiki mbili za mwanzoni ambapo kiwango Cha uzito ni sawa na 3.5 kg na kipindi Cha pili ni 9kg jumla ni 12.5kg kilo hizi uongezeka kufuatana na kukua kwa viungo mbalimbali kama vile kuongezeka Matiti,uzito wa mtoto, mfuko wa uzazi na majimaji yaliyomo kwenye mwili wa mwanamke mwenye mimba.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
Soma Zaidi...Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Soma Zaidi...Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue
Soma Zaidi...Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba
Soma Zaidi...