Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito
1. Mama akiwa mjamzito uzito ubadilika kulingana na miezi mbalimbali hii ni kwa sababu ya mtoto aliyetumboni na mabadiliko mbalimbali ya mwili.Katika wiki ya ishilini Uzito wa Mama uongezeka kwa 3.5kg na katika wiki za mwisho uzito uongezeka kwa kiasi Cha 9kg jumla ni 12. 5kg,kwa hiyo kwa ujumla kilo 12. 5kg kwa Mama mjamzito.
2. Vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama mjamzito kuongezeka ni pamoja na vyakula anavyokula kwa sababu Kuna akina Mama wengine wanaokula sana wakiwa na Mimba, maji ambayo Yamo kwenye mfuko wa uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa Amniotic fluid haya Maji uongeza sana uzito wa Mama akiwa na Mimba kwa sababu ni kitu ambacho hakikuwa kwenye mwili wake alipokuwa Hana mimba.
3.Vitu ambayo ufanya Uzito wa Mama kupungua.
Mama akiwa na Mimba Kuna vitu mbalimbali ambavyo ufanya Uzito wa Mama kupungua kama vile, kutapika na kuharisha usababisha Uzito wa Mama kupungua au magonjwa mbalimbali ambayo umfanya Mama kukosa hamu ya kula na kumfanya apungue uzito.
4. Kuna vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama kuongezeka,vitu hivyo ni kama ifuatavyo. Matiti yanakuwa na kilo 0.4kg,Adipose tissue zinakuwa na uzito wa 2.5kg, placenta inakuwa na uzito wa 0.6kg, Amniotic fluid inakuwa na uzito wa 0.8kg, mfuko wa uzazi inakuwa na uzito wa 0.9 kg, volume ya damu inakuwa na uzito wa 1.5 kg, maji mengine ya ziada yanakuwa na uzito wa 2.6kg, jumla ya uzito unaongezeka ni 12.5kg.
5. Uzito wa Mama uongezeka kwa kupitia vipindi vikuu viwili mpaka kuja kufukisha 12.5kg, kipindi Cha kwanza na Cha pili, kipindi Cha kwanza ni ni wiki mbili za mwanzoni ambapo kiwango Cha uzito ni sawa na 3.5 kg na kipindi Cha pili ni 9kg jumla ni 12.5kg kilo hizi uongezeka kufuatana na kukua kwa viungo mbalimbali kama vile kuongezeka Matiti,uzito wa mtoto, mfuko wa uzazi na majimaji yaliyomo kwenye mwili wa mwanamke mwenye mimba.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba
Soma Zaidi...Njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...Sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu
Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
Soma Zaidi...Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun
Soma Zaidi...Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan
Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?
Soma Zaidi...