Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba

Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

1. Mama akiwa mjamzito uzito ubadilika kulingana na miezi mbalimbali hii ni kwa sababu ya mtoto aliyetumboni na mabadiliko mbalimbali ya mwili.Katika wiki ya ishilini Uzito wa Mama uongezeka kwa 3.5kg na katika  wiki za mwisho uzito uongezeka kwa kiasi Cha 9kg jumla ni 12. 5kg,kwa hiyo kwa ujumla kilo 12. 5kg kwa Mama mjamzito.

 

2. Vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama mjamzito kuongezeka ni pamoja na vyakula anavyokula kwa sababu Kuna akina Mama wengine wanaokula sana wakiwa na Mimba, maji ambayo Yamo kwenye mfuko wa uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa Amniotic fluid haya Maji uongeza sana uzito wa Mama akiwa na Mimba kwa sababu ni kitu ambacho hakikuwa kwenye mwili wake alipokuwa Hana mimba.

 

3.Vitu ambayo ufanya Uzito wa Mama kupungua.

 Mama akiwa na Mimba Kuna vitu mbalimbali ambavyo ufanya Uzito wa Mama kupungua kama vile, kutapika na kuharisha usababisha Uzito wa Mama kupungua au magonjwa mbalimbali ambayo umfanya Mama kukosa hamu ya kula na kumfanya apungue uzito.

 

4. Kuna vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama kuongezeka,vitu hivyo ni kama ifuatavyo. Matiti yanakuwa na kilo 0.4kg,Adipose tissue zinakuwa na uzito wa 2.5kg, placenta inakuwa na uzito wa 0.6kg, Amniotic fluid inakuwa na uzito wa 0.8kg, mfuko wa uzazi inakuwa na uzito wa 0.9 kg, volume ya damu inakuwa na uzito wa 1.5 kg, maji mengine ya ziada yanakuwa na uzito wa 2.6kg, jumla ya uzito unaongezeka ni 12.5kg.

 

5. Uzito wa Mama uongezeka kwa kupitia vipindi vikuu viwili mpaka kuja kufukisha 12.5kg, kipindi Cha kwanza na Cha pili, kipindi Cha kwanza ni ni wiki mbili za mwanzoni ambapo kiwango Cha uzito ni sawa na 3.5 kg na kipindi Cha pili ni 9kg jumla ni 12.5kg kilo hizi uongezeka kufuatana na kukua kwa viungo mbalimbali kama vile kuongezeka Matiti,uzito wa mtoto, mfuko wa uzazi na majimaji yaliyomo kwenye mwili wa mwanamke mwenye mimba.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2471

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.

Soma Zaidi...
Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Soma Zaidi...
Kiungulia kwa wajawazito, dawa yake na njia za kukabilianannacho

Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake

Soma Zaidi...
Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22

Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...
Uchafu unaotoka ukeni na rangi zake.

Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za kutumia uzazi wa mpango

Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Soma Zaidi...
Siku za hatari, siku za kubeba mimba

Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake

Soma Zaidi...