Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba

Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

1. Mama akiwa mjamzito uzito ubadilika kulingana na miezi mbalimbali hii ni kwa sababu ya mtoto aliyetumboni na mabadiliko mbalimbali ya mwili.Katika wiki ya ishilini Uzito wa Mama uongezeka kwa 3.5kg na katika  wiki za mwisho uzito uongezeka kwa kiasi Cha 9kg jumla ni 12. 5kg,kwa hiyo kwa ujumla kilo 12. 5kg kwa Mama mjamzito.

 

2. Vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama mjamzito kuongezeka ni pamoja na vyakula anavyokula kwa sababu Kuna akina Mama wengine wanaokula sana wakiwa na Mimba, maji ambayo Yamo kwenye mfuko wa uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa Amniotic fluid haya Maji uongeza sana uzito wa Mama akiwa na Mimba kwa sababu ni kitu ambacho hakikuwa kwenye mwili wake alipokuwa Hana mimba.

 

3.Vitu ambayo ufanya Uzito wa Mama kupungua.

 Mama akiwa na Mimba Kuna vitu mbalimbali ambavyo ufanya Uzito wa Mama kupungua kama vile, kutapika na kuharisha usababisha Uzito wa Mama kupungua au magonjwa mbalimbali ambayo umfanya Mama kukosa hamu ya kula na kumfanya apungue uzito.

 

4. Kuna vitu ambavyo ufanya Uzito wa Mama kuongezeka,vitu hivyo ni kama ifuatavyo. Matiti yanakuwa na kilo 0.4kg,Adipose tissue zinakuwa na uzito wa 2.5kg, placenta inakuwa na uzito wa 0.6kg, Amniotic fluid inakuwa na uzito wa 0.8kg, mfuko wa uzazi inakuwa na uzito wa 0.9 kg, volume ya damu inakuwa na uzito wa 1.5 kg, maji mengine ya ziada yanakuwa na uzito wa 2.6kg, jumla ya uzito unaongezeka ni 12.5kg.

 

5. Uzito wa Mama uongezeka kwa kupitia vipindi vikuu viwili mpaka kuja kufukisha 12.5kg, kipindi Cha kwanza na Cha pili, kipindi Cha kwanza ni ni wiki mbili za mwanzoni ambapo kiwango Cha uzito ni sawa na 3.5 kg na kipindi Cha pili ni 9kg jumla ni 12.5kg kilo hizi uongezeka kufuatana na kukua kwa viungo mbalimbali kama vile kuongezeka Matiti,uzito wa mtoto, mfuko wa uzazi na majimaji yaliyomo kwenye mwili wa mwanamke mwenye mimba.

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2301

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii

Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.

Soma Zaidi...
Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Kazi ya homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.

Soma Zaidi...
Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume

Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...