Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.

  Je, mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka lini?

Hili swali linaloulizwa na wengi Sana lakini Kuna baadhi ya jamii huwa wanaami  desturi na Mila potofu Imani potofu Kama vile ;

1.mjamzito akifanya mapenzi mimba inaweza kutoka iyo sio kweli Bali hupanua Njia ya mama kumrahisishia kujifungua kwa haraka.

 

2.pia wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi Mtoto atapata maambukizi iyo sio kweli kwasababu Mtoto huwa yupo mwenye mfuko wake na hawezi kupata maambukizi.

 

3.wanaamini kuwa mjamzito akifanya mapenzi kuwa atapata mimba Mara mbili au hupelekea kupata mapacha iyo sio kweli kwasababu ukuta wa uteras unakuwa ushajifunga hivyo amna sparm inayoweza kuingia na kupelekea mimba nyingine .

 

4.wengine huamini kuwa Mtoto anaweza kuumia nayo sio kweli.

 

5.chupa huweza kupasuka nayo sio kweli.

 

6.wengine huamini kuwa mimba itatoka 

 

  1.   Tahandhari za kuchukua

Mama mjamzito anatakiwa kuwa makini Kuna Mambo ambayo  yakijitokeza hatakiwi kufanya tendo la ndoa na anatakiwa kuwahi kwenye kituo Cha afya ikiwa akiona dalili Kama hizi ;

 

1. Kutokwa na Damu ukeni wakati wa ujauzito.

 

2.kama kondo la nyuma la mama limejishikiza karibia ni kwenye mlango wa Uzazi

 

3.mimba Kuharibika au ikitishia kutoka.

 

4.mama ambaye ana historia ya mimba kutoka Mara kwa Mara.

 

5.kama mama ana kichefuchefu,kutapika,Hana hamu ya tendo la ndoa Mara nyingi hutokea mimba ikiwa na miezi mitatu nayo anatakiwa asishiriki tendo la ndoa ili asubirie homoni zikae sawa 

 

   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3097

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali

Soma Zaidi...
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa

Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote

Soma Zaidi...
Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.

Soma Zaidi...
Dalili za tezi dume na sababu za kutokea kwa tezi dume.

dalili za ugonjwa wa tezi dume, na sababu za kutokea kwa tezi dume, maana ya tezi dume na athari zake

Soma Zaidi...
Dalili za kuharibika kwa mimba

Katika post hii utajifunza ishara na dalili ninazoonyesha kuwa mimba ipo hatarini kutoka ama inaweza kuwa imeshatoka.

Soma Zaidi...
Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mtoto mara tu anapozaliwa

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)

Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...