image

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

1. Kwenye maji ya Amniotic fluid Kuna Alkaline hii alikalni iliyomo Ina kiwango chake ambacho kinamfanya mtoto aweze kuishi pale,alkaline umsaidie mtoto aendelee kukua zaidi kuanzia pale maji yanapotengenezwa mpaka anapozaliwa kiwango Cha alkaline kilichopo kwenye Maji ya Amniotic fluid ni pH ya 7.2. hii inamsaidia mtoto aweze kukua vizuri. Kwa hiyo Alkaline hii inamsaidia mtoto aweze kukua kuanzia hatua Moja kwenda nyingine.

 

 

2.Maji ya Amniotic fluid Kuna kiasi Cha maji ambayo Yamo ndani yake maji hayo uwa na kiwango maalumu ambacho kinahitajika Ili maji yaweze kuruhusu mtoto aweze kukua, maji hayo utokana na  mkojo wa mtoto anapokuwa tumboni mwa mama yake na pengine kutokana na kazi mbalimbali mwilini ambazo uongeza kiwango Cha maji kwenye mwili, kiwango Cha maji ni kikubwa mno ambacho uanzia asilimia tisini na nane mpaka tisini na Tisa tunaona ni kiwango kikubwa mno.

 

3.Maji ya Amniotic fluid yana vyakula vya wanga, ambayo kwa kitaalamu huitwa fluctose na glucose, Kuna vyakula vya protein ambayo kwa kitaalamu huitwa albumin na globulin, Kuna vyakula vya mafuta  Kuna homoni ambazo ni progesterone na oestrogen Kuna enzyme ambazo kwa kitaalamu huitwa alkaline phosphatase ambayo uzalisha kiasi Cha alkaline vyote hivi ukaa ndani ya Amniotic fluid na ufanya kazi mbalimbali na utokana na vitu mbalimbali.

 

4. Maji ya Amniotic fluid huwa na madini mbalimbali.

Madini mbalimbali ambayo kazi yake ni kujenga mwili na kufanya kazi mbalimbali mwilini madini haya ni pamoja na sodium, potassium na chlorine haya madini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa mtoto kama vile kujenga mwili na jaxi mbalimbali za mwili wakati wa makuzi ya mtoto.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1318


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito Soma Zaidi...

Dalili za tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine. Soma Zaidi...

Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza Soma Zaidi...

Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba Soma Zaidi...

Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume Soma Zaidi...

Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua
Soma Zaidi...

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...

Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini
Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya. Soma Zaidi...

Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume
Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

Je endapo mama atafanya tendo la ndoa wiki moja kabla ya kuingia hedhi anaweza kupata ujauzito?
Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii. Soma Zaidi...