Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.
Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.
1. Kwenye maji ya Amniotic fluid Kuna Alkaline hii alikalni iliyomo Ina kiwango chake ambacho kinamfanya mtoto aweze kuishi pale,alkaline umsaidie mtoto aendelee kukua zaidi kuanzia pale maji yanapotengenezwa mpaka anapozaliwa kiwango Cha alkaline kilichopo kwenye Maji ya Amniotic fluid ni pH ya 7.2. hii inamsaidia mtoto aweze kukua vizuri. Kwa hiyo Alkaline hii inamsaidia mtoto aweze kukua kuanzia hatua Moja kwenda nyingine.
2.Maji ya Amniotic fluid Kuna kiasi Cha maji ambayo Yamo ndani yake maji hayo uwa na kiwango maalumu ambacho kinahitajika Ili maji yaweze kuruhusu mtoto aweze kukua, maji hayo utokana na mkojo wa mtoto anapokuwa tumboni mwa mama yake na pengine kutokana na kazi mbalimbali mwilini ambazo uongeza kiwango Cha maji kwenye mwili, kiwango Cha maji ni kikubwa mno ambacho uanzia asilimia tisini na nane mpaka tisini na Tisa tunaona ni kiwango kikubwa mno.
3.Maji ya Amniotic fluid yana vyakula vya wanga, ambayo kwa kitaalamu huitwa fluctose na glucose, Kuna vyakula vya protein ambayo kwa kitaalamu huitwa albumin na globulin, Kuna vyakula vya mafuta Kuna homoni ambazo ni progesterone na oestrogen Kuna enzyme ambazo kwa kitaalamu huitwa alkaline phosphatase ambayo uzalisha kiasi Cha alkaline vyote hivi ukaa ndani ya Amniotic fluid na ufanya kazi mbalimbali na utokana na vitu mbalimbali.
4. Maji ya Amniotic fluid huwa na madini mbalimbali.
Madini mbalimbali ambayo kazi yake ni kujenga mwili na kufanya kazi mbalimbali mwilini madini haya ni pamoja na sodium, potassium na chlorine haya madini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa mtoto kama vile kujenga mwili na jaxi mbalimbali za mwili wakati wa makuzi ya mtoto.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Soma Zaidi...DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja
Soma Zaidi...Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...