Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.
Mabadiliko yanayotokea kwenye Matiti kwa Mama mjamzito.
1. Kiwango Cha damu kusafiri kwenye Matiti uongezeka, Ili kuweza kuanzisha kuzalisha kwa Maziwa kiasi Cha kuongezeka kwa kiwango Cha damu kwenye Matiti usaidiwa na homoni mbili ambazo ni progesterone na oestrogen hii ni kwa sababu ya kuandaliwa kwa kutengenezwa kwa Maziwa.
2. Katika wiki ya tatu mpaka ya nne Kuna miwasho fulani inayotokea kwenye sehemu za Matiti hii ni kwa sababu ya kuongeza kwa kiwango Cha damu kwenye Matiti, na wiki ya sita mpaka ya nane Kuna kuongezeka kwa ukubwa wa Matiti na maumivu kwenye Matiti uanza kujitokeza kwa sababu ya kuongeza kwa kiwango kwa Matiti na mishipa ya veini uanza kuonekana juu ya ngozi
3. Kuanzia wiki ya nane mpaka Kumi na mbili gland uanza kuzalisha sebum ambazo ufanya chuchu za Matiti kuwa na ulaini kwa ajili ya maandalizi ya kumnyonyesha mtoto, na kwa kipindi kingine chuchu uanza kuwa nyeusi kwa Sababu ya maandalizi ya kumnyonyesha mtoto.
4. Katika wiki za mwisho ambazo ni kuanzia wiki ya thelathini na nane na kuendelea majimaji ya njano uanza kujitokeza kwenye Matiti ambayo baadae mtoto akizaliwa ndiyo maziwa ambayo utumiwa na mtoto, kwa hiyo Iwapo Mama akiona maziwa kama haya hasiogope ajue kuwa ni kawaida kwa Maziwa ya Aina hii kutokea.
5. Matiti kuvimba kuliko kawaida
Kwa Mama mjamzito Matiti uongezeka kuliko kawaida kwa sababu ya matengenezo ya maziwa na kwa sababu ya kuongezeka kwa pressure kwenye Matiti, na pia kuongezeka kwa virutubisho kwenye Matiti kwa ajili ya mtoto.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Soma Zaidi...Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...