Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.
Mabadiliko yanayotokea kwenye Matiti kwa Mama mjamzito.
1. Kiwango Cha damu kusafiri kwenye Matiti uongezeka, Ili kuweza kuanzisha kuzalisha kwa Maziwa kiasi Cha kuongezeka kwa kiwango Cha damu kwenye Matiti usaidiwa na homoni mbili ambazo ni progesterone na oestrogen hii ni kwa sababu ya kuandaliwa kwa kutengenezwa kwa Maziwa.
2. Katika wiki ya tatu mpaka ya nne Kuna miwasho fulani inayotokea kwenye sehemu za Matiti hii ni kwa sababu ya kuongeza kwa kiwango Cha damu kwenye Matiti, na wiki ya sita mpaka ya nane Kuna kuongezeka kwa ukubwa wa Matiti na maumivu kwenye Matiti uanza kujitokeza kwa sababu ya kuongeza kwa kiwango kwa Matiti na mishipa ya veini uanza kuonekana juu ya ngozi
3. Kuanzia wiki ya nane mpaka Kumi na mbili gland uanza kuzalisha sebum ambazo ufanya chuchu za Matiti kuwa na ulaini kwa ajili ya maandalizi ya kumnyonyesha mtoto, na kwa kipindi kingine chuchu uanza kuwa nyeusi kwa Sababu ya maandalizi ya kumnyonyesha mtoto.
4. Katika wiki za mwisho ambazo ni kuanzia wiki ya thelathini na nane na kuendelea majimaji ya njano uanza kujitokeza kwenye Matiti ambayo baadae mtoto akizaliwa ndiyo maziwa ambayo utumiwa na mtoto, kwa hiyo Iwapo Mama akiona maziwa kama haya hasiogope ajue kuwa ni kawaida kwa Maziwa ya Aina hii kutokea.
5. Matiti kuvimba kuliko kawaida
Kwa Mama mjamzito Matiti uongezeka kuliko kawaida kwa sababu ya matengenezo ya maziwa na kwa sababu ya kuongezeka kwa pressure kwenye Matiti, na pia kuongezeka kwa virutubisho kwenye Matiti kwa ajili ya mtoto.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dalili ya mimba ya wiki moja(1)
Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi
Soma Zaidi...Umuhimu wa kunyonyesha mtoto
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Umuhimu wa uzazi wa mpango
Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Soma Zaidi...Ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Mazoezi salama kwa mama mjamzito
Katika kipindi cha ujauzito, kufanya mazoezi kwa usahihi ni muhimu kwa afya ya mama na mtoto. Mazoezi haya yanasaidia kupunguza uchovu, kudhibiti uzito, kupunguza matatizo ya mgongo, na kuongeza hisia za furaha. Somo hili litatoa mwongozo wa aina za mazoezi zinazofaa kwa kila mwezi wa ujauzito, pamoja na mwongozo wa usalama wa kufanya mazoezi haya nyumbani.
Soma Zaidi...