picha

Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.

Njia za kupunguza ugonjwa wa pressure.

1. Kwanza kabisa ni lazima kujua presha Yako ikoje kama Iko juu, chini au kawaida, kwa kawaida presha ya juuu upaswa kuwaanzia mia ishilini mpaka mia arobaini na presha ya chini kwa kawaida uanzia sitini mpaka tisini, kwa hiyo kwa upande wa presha ya juuu  ni pale damu inaposukumwa kutoka kwenye moyo na kwenda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na presha ya chini ni pale damu inapotoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye ventriko ya kushoto.kwa hiyo presha ya juu ikizidi mia arobaini sio hali ya kawaida labda Kuna tukio au ni ugonjwa na ya chini haipaswi kuzidi sitini.

 

2. Pia Ili kupunguza ugonjwa wa pressure ni vizuri kabisa kupunguza msongo wa mawazo kwa sababu ya kuwepo kwa msongo wa mawazo usababisha mwili kuzalisha homoni ambayo uhitwa adrenaline homoni kazi yake ni kufanya mishipa kusinyaa hali inayosababisha presha kuwa juu kwa sababu ya kuzalishwa kwa adrenaline homoni, kwa hiyo ni vizuri kabisa kukabiliana na changamoto za maisha na kujifunza namna ya kucontrol streets.

 

3. Kupunguza uzito.

Kwa kawaida uzito ukiongezeka ni shida tu kwa sababu function mbalimbali kwenye mwili huwa hazifanyi kazi vizuri.

 

4. Kufanya mazoezi.

Pia na mazoezi ni mazuri sana kwenye kupunguza ugonjwa wa pressure kwa sababu mtu akifanya mazoezi usaidia mishipa kulainika na kufanya kazi vizuri.

 

5. Kwa mgonjwa wa pressure epuka chakula chenye chumvi kwa sababu chumvi  kwa sababu kila siku mtu mmoja anapaswa kutumia mia tano .

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2285

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni

Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i

Soma Zaidi...
Masharti ya vidonda vya tumbo

Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya mapafu

Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.

Soma Zaidi...
Shida ya kifua kubana inaweza kuwa dalili ya maambukizi ya ukimwi

Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mtoto mwenye UTI

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...