Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.
1. Kwanza kabisa ni lazima kujua presha Yako ikoje kama Iko juu, chini au kawaida, kwa kawaida presha ya juuu upaswa kuwaanzia mia ishilini mpaka mia arobaini na presha ya chini kwa kawaida uanzia sitini mpaka tisini, kwa hiyo kwa upande wa presha ya juuu ni pale damu inaposukumwa kutoka kwenye moyo na kwenda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na presha ya chini ni pale damu inapotoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye ventriko ya kushoto.kwa hiyo presha ya juu ikizidi mia arobaini sio hali ya kawaida labda Kuna tukio au ni ugonjwa na ya chini haipaswi kuzidi sitini.
2. Pia Ili kupunguza ugonjwa wa pressure ni vizuri kabisa kupunguza msongo wa mawazo kwa sababu ya kuwepo kwa msongo wa mawazo usababisha mwili kuzalisha homoni ambayo uhitwa adrenaline homoni kazi yake ni kufanya mishipa kusinyaa hali inayosababisha presha kuwa juu kwa sababu ya kuzalishwa kwa adrenaline homoni, kwa hiyo ni vizuri kabisa kukabiliana na changamoto za maisha na kujifunza namna ya kucontrol streets.
3. Kupunguza uzito.
Kwa kawaida uzito ukiongezeka ni shida tu kwa sababu function mbalimbali kwenye mwili huwa hazifanyi kazi vizuri.
4. Kufanya mazoezi.
Pia na mazoezi ni mazuri sana kwenye kupunguza ugonjwa wa pressure kwa sababu mtu akifanya mazoezi usaidia mishipa kulainika na kufanya kazi vizuri.
5. Kwa mgonjwa wa pressure epuka chakula chenye chumvi kwa sababu chumvi kwa sababu kila siku mtu mmoja anapaswa kutumia mia tano .
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
Soma Zaidi...Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
Soma Zaidi...Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake
Soma Zaidi...Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje
Soma Zaidi...