Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu

Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Njia za kupunguza ugonjwa wa pressure.

1. Kwanza kabisa ni lazima kujua presha Yako ikoje kama Iko juu, chini au kawaida, kwa kawaida presha ya juuu upaswa kuwaanzia mia ishilini mpaka mia arobaini na presha ya chini kwa kawaida uanzia sitini mpaka tisini, kwa hiyo kwa upande wa presha ya juuu  ni pale damu inaposukumwa kutoka kwenye moyo na kwenda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na presha ya chini ni pale damu inapotoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye ventriko ya kushoto.kwa hiyo presha ya juu ikizidi mia arobaini sio hali ya kawaida labda Kuna tukio au ni ugonjwa na ya chini haipaswi kuzidi sitini.

 

2. Pia Ili kupunguza ugonjwa wa pressure ni vizuri kabisa kupunguza msongo wa mawazo kwa sababu ya kuwepo kwa msongo wa mawazo usababisha mwili kuzalisha homoni ambayo uhitwa adrenaline homoni kazi yake ni kufanya mishipa kusinyaa hali inayosababisha presha kuwa juu kwa sababu ya kuzalishwa kwa adrenaline homoni, kwa hiyo ni vizuri kabisa kukabiliana na changamoto za maisha na kujifunza namna ya kucontrol streets.

 

3. Kupunguza uzito.

Kwa kawaida uzito ukiongezeka ni shida tu kwa sababu function mbalimbali kwenye mwili huwa hazifanyi kazi vizuri.

 

4. Kufanya mazoezi.

Pia na mazoezi ni mazuri sana kwenye kupunguza ugonjwa wa pressure kwa sababu mtu akifanya mazoezi usaidia mishipa kulainika na kufanya kazi vizuri.

 

5. Kwa mgonjwa wa pressure epuka chakula chenye chumvi kwa sababu chumvi  kwa sababu kila siku mtu mmoja anapaswa kutumia mia tano .

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1660

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Ndugu  mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo

Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.

Soma Zaidi...
 Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo
Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia upele
Njia za kuzuia upele

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)
Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)

maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri

Soma Zaidi...
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)

sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy

Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Njia za maambukizi ya Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Sababu ya maumivu ya magoti.
Sababu ya maumivu ya magoti.

Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye mago

Soma Zaidi...
Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)
Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
  Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)

Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.

Soma Zaidi...