Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Mabadiliko yanayotokea kwenye uke wa Mama pale anapobeba Mimba au pengine uitwa kwa kitaalamu Vagina.

1. Homoni ambayo huitwa ostrogen usababisha uke wa Mama kuwa Imara na mishipa ya damu uongezeka kwenye uke wa Mama mjamzito na rangi ya uke wa Mama mjamzito ubadilika na kuwa rangi ya viorate na sehemu ya uke uwa kama inavutika Ili kusababisha mtoto kupita wakati wa kujifungua.hayo yote utokea kwaenye uke wa Mwanamke Ili kumandaa Mwanamke aweze kuwa tayari kujifungua mimba ambayo unaendelea kukua.

 

2. Kuongezeka kwa majimaji kwenye uke maji haya ni ya kawaida uzalishwa na seli ambazo zimo kwenye uke, haya maji kwa kitaalamu huitwa leucorrhea haya Maji usaidia kuweka uke kwenye hali ya unyevunyevu na usaidia hasa wakati wa kujifungua kwa mama ambapo uzuia mikwaluzo kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo wakati wa ujauzito maji kwenye uke uongezeka kuliko kawaida yaani  pale Mama kama Yuko kawaida.

 

3. Homoni ambayo huitwa ostrogen inachangia katika kulinda Mazingira kwenye uke akiwa na Mimba kwa kuhakikisha kuwa wadudu waharibifu wanashindwa kuishi kwenye uke wakati wa Mimba ambao wanaweza kusababisha uharibifu kwenye uke na kusababisha  Magonjwa kama vile kandidiasisi ambayo inaweza kuadhiri na mtoto akiwa tumboni na kuleta madhara makubwa kwa Mama Pia na kwa Mtoto akiwa  tumboni au wakati wa kujifungua.

 

4. Mama akiwa mjamzito uke wake uongezeka kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida,hii ni kwa sababu ya maandalizi ya kujifungua kwa sababu kiwango Cha uke wa Mama kinapaswa kulingana na kichwa Cha mtoto Ili mtoto aweze kupita vizuri kwenye uke wa Mama kwa hiyo wakati wa kujifungua wakunga inaewabidi kuangalia uke wa Mama kama mtoto anaweza kupita wakati wa kujifungua.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4013

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Dalili za kuziba kwa mirija ya uzazi

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.

Soma Zaidi...
Dalili za Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kama kuna Maambukizi yoyote kwenye kitovu cha mtoto mdogo, kwa kawaida kitovu cha mtoto kama kiko vizuri kinapona kwa mda mchache na kinakauka mapema iwezekanavyo bila kuwa na tatizo lolote ila kama kuna Dal

Soma Zaidi...
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Soma Zaidi...
Dalili za mimba yenye uvimbe

Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa

Soma Zaidi...
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Soma Zaidi...
Kondomu za kike

Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya watoto mapacha

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Ni ipi hasa siku ambayo nitafute ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito

Soma Zaidi...