Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.
Mabadiliko yanayotokea kwenye uke wa Mama pale anapobeba Mimba au pengine uitwa kwa kitaalamu Vagina.
1. Homoni ambayo huitwa ostrogen usababisha uke wa Mama kuwa Imara na mishipa ya damu uongezeka kwenye uke wa Mama mjamzito na rangi ya uke wa Mama mjamzito ubadilika na kuwa rangi ya viorate na sehemu ya uke uwa kama inavutika Ili kusababisha mtoto kupita wakati wa kujifungua.hayo yote utokea kwaenye uke wa Mwanamke Ili kumandaa Mwanamke aweze kuwa tayari kujifungua mimba ambayo unaendelea kukua.
2. Kuongezeka kwa majimaji kwenye uke maji haya ni ya kawaida uzalishwa na seli ambazo zimo kwenye uke, haya maji kwa kitaalamu huitwa leucorrhea haya Maji usaidia kuweka uke kwenye hali ya unyevunyevu na usaidia hasa wakati wa kujifungua kwa mama ambapo uzuia mikwaluzo kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo wakati wa ujauzito maji kwenye uke uongezeka kuliko kawaida yaani pale Mama kama Yuko kawaida.
3. Homoni ambayo huitwa ostrogen inachangia katika kulinda Mazingira kwenye uke akiwa na Mimba kwa kuhakikisha kuwa wadudu waharibifu wanashindwa kuishi kwenye uke wakati wa Mimba ambao wanaweza kusababisha uharibifu kwenye uke na kusababisha Magonjwa kama vile kandidiasisi ambayo inaweza kuadhiri na mtoto akiwa tumboni na kuleta madhara makubwa kwa Mama Pia na kwa Mtoto akiwa tumboni au wakati wa kujifungua.
4. Mama akiwa mjamzito uke wake uongezeka kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida,hii ni kwa sababu ya maandalizi ya kujifungua kwa sababu kiwango Cha uke wa Mama kinapaswa kulingana na kichwa Cha mtoto Ili mtoto aweze kupita vizuri kwenye uke wa Mama kwa hiyo wakati wa kujifungua wakunga inaewabidi kuangalia uke wa Mama kama mtoto anaweza kupita wakati wa kujifungua.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...