Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Mabadiliko yanayotokea kwenye uke wa Mama pale anapobeba Mimba au pengine uitwa kwa kitaalamu Vagina.

1. Homoni ambayo huitwa ostrogen usababisha uke wa Mama kuwa Imara na mishipa ya damu uongezeka kwenye uke wa Mama mjamzito na rangi ya uke wa Mama mjamzito ubadilika na kuwa rangi ya viorate na sehemu ya uke uwa kama inavutika Ili kusababisha mtoto kupita wakati wa kujifungua.hayo yote utokea kwaenye uke wa Mwanamke Ili kumandaa Mwanamke aweze kuwa tayari kujifungua mimba ambayo unaendelea kukua.

 

2. Kuongezeka kwa majimaji kwenye uke maji haya ni ya kawaida uzalishwa na seli ambazo zimo kwenye uke, haya maji kwa kitaalamu huitwa leucorrhea haya Maji usaidia kuweka uke kwenye hali ya unyevunyevu na usaidia hasa wakati wa kujifungua kwa mama ambapo uzuia mikwaluzo kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo wakati wa ujauzito maji kwenye uke uongezeka kuliko kawaida yaani  pale Mama kama Yuko kawaida.

 

3. Homoni ambayo huitwa ostrogen inachangia katika kulinda Mazingira kwenye uke akiwa na Mimba kwa kuhakikisha kuwa wadudu waharibifu wanashindwa kuishi kwenye uke wakati wa Mimba ambao wanaweza kusababisha uharibifu kwenye uke na kusababisha  Magonjwa kama vile kandidiasisi ambayo inaweza kuadhiri na mtoto akiwa tumboni na kuleta madhara makubwa kwa Mama Pia na kwa Mtoto akiwa  tumboni au wakati wa kujifungua.

 

4. Mama akiwa mjamzito uke wake uongezeka kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida,hii ni kwa sababu ya maandalizi ya kujifungua kwa sababu kiwango Cha uke wa Mama kinapaswa kulingana na kichwa Cha mtoto Ili mtoto aweze kupita vizuri kwenye uke wa Mama kwa hiyo wakati wa kujifungua wakunga inaewabidi kuangalia uke wa Mama kama mtoto anaweza kupita wakati wa kujifungua.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3118

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dalili na sababu za Kukosa hedhi

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

Soma Zaidi...
Uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga manii nje.

Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.

Soma Zaidi...
Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua

Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.

Soma Zaidi...
Mwenye ujauzito wa wiki moja na ana u.t.i anaweza kutumia dawa za aina gani ambozo zitakua salama kwa kiumbe kilichoanza kukua?

Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.

Soma Zaidi...
dalili za uchungu kwa mama mjamzito

Makala hii itakwenda kukufundisha baadhi ya dalili za uchungu kwa mama mjamzito.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.

Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v

Soma Zaidi...
Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...
Njia huanza kufunguka mda gani kabla ya kujifungua

Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.

Soma Zaidi...
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

Soma Zaidi...