Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Somo hili ni muendelezo wa masomo mawili yaliotangulia nyuma. Hvyo basi hapa nitakwenda kukuletea orodha ya mabadliko ya mafaili yote yaliobadilishwa baada ya kutumia prepared statement.
Pia tutakwenda kutatuwa tatizo la kufuta pica. Hapa tutakwenda kutatua liletatizo unapo edit icha le ya zamani inabakia.
Ili kuelewa vyema somo hili tafadhali rejea mazomo mawili yaliotangulia kwa njia ya video. Tembelea channel yetu ya youtube inayopatikana kwa link hii youtube.com/@tehama-tz
dashboard.php
<html>
<head>
<title>Dshboard</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<style>
table, th, td {
border:1px solid black;
}
.dol{
margin: 0 auto;
max-width: 70%;
}
</style>
</head>
<body>
<h1><a href="post.php">Ongeza post</a> </h1>
<table>
<tbody>
<th>id</th>
<th>Image</th>
<th>Title</th>
<th>Publshed</th>
<th>Updated</th>
<th>Publsher</th>
<th>Soma</th>
<th>edit</th>
<th>Delete</th>
<?php
include "config.php";
$sql= $conn->prepare("SELECT * FROM posts");
$sql->execute();
$result = $sql->get_result();
while ($post = $result->fetch_assoc()){?>
<tr>
<td><?php echo $post['id']?></td>
<td><img src="upload/<?php echo $post['image']?>" height="5%" width="5%"></td>
<td><?php echo $post['title']?></td>
<td><?php echo $post['post_time']?></td>
<td><?php echo $post['updated_time']?></td>
<td><?php echo $post['publisher']?></td>
<td><a href="view.php?id=<?php echo $post['id']?>">Soma</a> </td>
<td><a href="edit.php?id=<?php echo $post['id']?>">edit</a> </td>
<td><a href="delete.php?id=<?php echo $post['id']?>">Futa</a> </td>
</tr>
<?php }?>
</tbody>
</table>
</body>
</html>
delete.php
$id = filter_var($_GET['id'], FILTER_SANITIZE_NUMBER_INT);
include "config.php";
$sql= $conn->prepare("SELECT image FROM posts where id =?");
$sql->bind_param("i", $id);
$sql->execute();
$result = $sql->get_result();
while ($post = $result->fetch_assoc()){
$image = $post['image'];
unlink("upload/".$image);
$sql= $conn->prepare("DELETE FROM posts where id =?");
$sql->bind_param("i", $id);
$sql->execute();
header("location:dashboard.php");
}
post.php
<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="" method="post" enctype="multipart/form-data">
<label for="title">Title</label><br>
<input type="text" name="title" placeholder="write your post title" id="title"><br>
<label for="summary">Summary</label><br>
<input type="text" name="summary" placeholder="write your post summary" id="summary"><br>
<label for="content">content</label><br>
<textarea name="content" id="content" placeholder="wrte your post content"></textarea>
<script>CKEDITOR.replace( 'content' );
</script>
<label for="publisher">publisher</label><br>
<input type="text" name="publisher" placeholder="write your post publisher" id="publisher"><br>
<label for="date">Date</label><br>
<input type="date" name="date" placeholder="write your post date" id="date"><br><br>
<label for="image">upload your image</label>
<input type="file" name="file" accept="image/*" id="image"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="submit">
</form>
<br><br>
</body>
</html>
<?php
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = filter_var($_POST['title'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$summary = filter_var($_POST['summary'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$content = $_POST[">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...