PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Somo hili ni muendelezo wa masomo mawili yaliotangulia nyuma. Hvyo basi hapa nitakwenda kukuletea orodha ya mabadliko ya mafaili yote yaliobadilishwa baada ya kutumia prepared statement.

Pia tutakwenda kutatuwa tatizo la kufuta pica. Hapa tutakwenda kutatua liletatizo unapo edit icha le ya zamani inabakia. 

Ili kuelewa vyema somo hili tafadhali rejea mazomo mawili yaliotangulia kwa njia ya video. Tembelea channel yetu ya youtube inayopatikana kwa link hii youtube.com/@tehama-tz

 

dashboard.php

<html>
<head>
<title>Dshboard</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<style>
table, th, td {
border:1px solid black;
}
.dol{
margin: 0 auto;
max-width: 70%;
}
</style>
</head>
<body>
<h1><a href="post.php">Ongeza post</a> </h1>
<table>
<tbody>
<th>id</th>
<th>Image</th>
<th>Title</th>
<th>Publshed</th>
<th>Updated</th>
<th>Publsher</th>
<th>Soma</th>
<th>edit</th>
<th>Delete</th>
<?php
include "config.php";
$sql= $conn->prepare("SELECT * FROM posts");
$sql->execute();
$result = $sql->get_result();
while ($post = $result->fetch_assoc()){?>
<tr>
<td><?php echo $post['id']?></td>
<td><img src="upload/<?php echo $post['image']?>" height="5%" width="5%"></td>
<td><?php echo $post['title']?></td>
<td><?php echo $post['post_time']?></td>
<td><?php echo $post['updated_time']?></td>
<td><?php echo $post['publisher']?></td>
<td><a href="view.php?id=<?php echo $post['id']?>">Soma</a> </td>
<td><a href="edit.php?id=<?php echo $post['id']?>">edit</a> </td>
<td><a href="delete.php?id=<?php echo $post['id']?>">Futa</a> </td>
</tr>
<?php }?>
</tbody>
</table>
</body>
</html>

 

 

delete.php

 

$id = filter_var($_GET['id'], FILTER_SANITIZE_NUMBER_INT);

include "config.php";

$sql= $conn->prepare("SELECT image FROM posts where id =?");

$sql->bind_param("i", $id);

$sql->execute();

$result = $sql->get_result();

while ($post = $result->fetch_assoc()){

$image = $post['image'];

unlink("upload/".$image);

$sql= $conn->prepare("DELETE FROM posts where id =?");

$sql->bind_param("i", $id);

$sql->execute();

header("location:dashboard.php");



}

 

 

 

 

 

 

post.php

<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="" method="post" enctype="multipart/form-data">
<label for="title">Title</label><br>
<input type="text" name="title" placeholder="write your post title" id="title"><br>

<label for="summary">Summary</label><br>
<input type="text" name="summary" placeholder="write your post summary" id="summary"><br>

<label for="content">content</label><br>
<textarea name="content" id="content" placeholder="wrte your post content"></textarea>
<script>CKEDITOR.replace( 'content' );
</script>
<label for="publisher">publisher</label><br>
<input type="text" name="publisher" placeholder="write your post publisher" id="publisher"><br>

<label for="date">Date</label><br>
<input type="date" name="date" placeholder="write your post date" id="date"><br><br>

<label for="image">upload your image</label>
<input type="file" name="file" accept="image/*" id="image"><br><br>

<input type="submit" name="submit" value="submit">
</form>
<br><br>
</body>
</html>
<?php
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = filter_var($_POST['title'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$summary = filter_var($_POST['summary'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$content = $_POST[&#">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1628

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...