Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Somo hili ni muendelezo wa masomo mawili yaliotangulia nyuma. Hvyo basi hapa nitakwenda kukuletea orodha ya mabadliko ya mafaili yote yaliobadilishwa baada ya kutumia prepared statement.
Pia tutakwenda kutatuwa tatizo la kufuta pica. Hapa tutakwenda kutatua liletatizo unapo edit icha le ya zamani inabakia.
Ili kuelewa vyema somo hili tafadhali rejea mazomo mawili yaliotangulia kwa njia ya video. Tembelea channel yetu ya youtube inayopatikana kwa link hii youtube.com/@tehama-tz
dashboard.php
<html>
<head>
<title>Dshboard</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<style>
table, th, td {
border:1px solid black;
}
.dol{
margin: 0 auto;
max-width: 70%;
}
</style>
</head>
<body>
<h1><a href="post.php">Ongeza post</a> </h1>
<table>
<tbody>
<th>id</th>
<th>Image</th>
<th>Title</th>
<th>Publshed</th>
<th>Updated</th>
<th>Publsher</th>
<th>Soma</th>
<th>edit</th>
<th>Delete</th>
<?php
include "config.php";
$sql= $conn->prepare("SELECT * FROM posts");
$sql->execute();
$result = $sql->get_result();
while ($post = $result->fetch_assoc()){?>
<tr>
<td><?php echo $post['id']?></td>
<td><img src="upload/<?php echo $post['image']?>" height="5%" width="5%"></td>
<td><?php echo $post['title']?></td>
<td><?php echo $post['post_time']?></td>
<td><?php echo $post['updated_time']?></td>
<td><?php echo $post['publisher']?></td>
<td><a href="view.php?id=<?php echo $post['id']?>">Soma</a> </td>
<td><a href="edit.php?id=<?php echo $post['id']?>">edit</a> </td>
<td><a href="delete.php?id=<?php echo $post['id']?>">Futa</a> </td>
</tr>
<?php }?>
</tbody>
</table>
</body>
</html>
delete.php
$id = filter_var($_GET['id'], FILTER_SANITIZE_NUMBER_INT);
include "config.php";
$sql= $conn->prepare("SELECT image FROM posts where id =?");
$sql->bind_param("i", $id);
$sql->execute();
$result = $sql->get_result();
while ($post = $result->fetch_assoc()){
$image = $post['image'];
unlink("upload/".$image);
$sql= $conn->prepare("DELETE FROM posts where id =?");
$sql->bind_param("i", $id);
$sql->execute();
header("location:dashboard.php");
}
post.php
<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="" method="post" enctype="multipart/form-data">
<label for="title">Title</label><br>
<input type="text" name="title" placeholder="write your post title" id="title"><br>
<label for="summary">Summary</label><br>
<input type="text" name="summary" placeholder="write your post summary" id="summary"><br>
<label for="content">content</label><br>
<textarea name="content" id="content" placeholder="wrte your post content"></textarea>
<script>CKEDITOR.replace( 'content' );
</script>
<label for="publisher">publisher</label><br>
<input type="text" name="publisher" placeholder="write your post publisher" id="publisher"><br>
<label for="date">Date</label><br>
<input type="date" name="date" placeholder="write your post date" id="date"><br><br>
<label for="image">upload your image</label>
<input type="file" name="file" accept="image/*" id="image"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="submit">
</form>
<br><br>
</body>
</html>
<?php
include "config.php";
if (isset($_POST['submit'])) {
//start code
// form variables
$title = filter_var($_POST['title'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$summary = filter_var($_POST['summary'], FILTER_SANITIZE_STRING);
$content = $_POST[">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Soma Zaidi...