Pata majibu ya maswali yanayokuhusu
kuna ukweli gani kuwa mtu mwenye damu yenye wesi sana anaweza kuwa na maambukizi ya VVU?
21-05-2023 04:33:53
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai
27-03-2023 05:24:07
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?
08-03-2023 05:31:32
UNAWEZA KUPIMA VVU MAJIBU YAKAWA NEGATIVE HUKU UMESHAAMBUKIZWA TEYARI?
04-02-2023 14:31:45
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
26-01-2023 15:23:15
Nilikuwa nataka kuuliza kwamba iv ukimwi unaonekana baada ya mda gani ukitaka kupima
02-03-2023 12:09:49
Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba
24-03-2023 10:38:22
Samahan naomba kujua wakat wa kukojoa matone ya mwanzo yanatoka na usaa kidogo hii Ni dalili ya ugonjwa gani?
21-03-2023 15:57:11
Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?
24-01-2023 08:30:34
Dalili za kichwa kuuma na kizungu zungu zina ashilia nn
25-02-2023 04:18:37
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
10-02-2023 08:20:39
Natokwa na majimaji ukeni masafi hayana harufu yeyote lakin Kuna mda yanaweza yakatoka mengi kidogo kiasi Cha kulowesha chupi mpaka taiti
Ni tatizo Gani hili? Kwa sasa ni siku ya nne tangia nilione tatizo hili na lilianza mara tu baada ya kukutana kimwili na mwanaume
21-05-2023 13:53:45
ninasumbuliwa sana na upungufu wa vitamin c tangu mwaka 2022 pia napatwa na vidonda mdomoni mara kwa mara vinachukua mda mrefu kupona je nitumie dozi gani na kwa mda gani
30-01-2023 04:15:46
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza
24-02-2023 09:32:00
Samahani ninatatizo lakutok na uchafu pembeni kwenye sehemu za siri naomba kufahamu ni tatizo gan
29-01-2023 19:21:01
Habar, samahan naomba kuuliza, endapo unapata maumivu makali ya tumbo upande wa kulia kwa chini na maumivu hayo unayapata wakati wa hedhi na wakati wa siku za kubeba mimba harafu maumivu hayo yanaambatana na kuunguruma je! Inaweza kuwa nini?
11-02-2023 06:53:54
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
27-03-2023 08:50:15
Hya maumivu n yatadumu kwa muda gan au mpaka nijifunguee
09-03-2023 12:46:34
Samahn mm nko naujauzito lkn vyakula vyote ckuli yaan nkikula natapik hata matunda nayatapik nifany nn ati
19-02-2023 04:26:23
Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida
03-03-2023 03:45:33
Hi,Kwa nini chuchu zangu ziko na uchungu Na zinatoka damu
27-03-2023 05:25:32
Et mayai ya kuchemsha kwa mjamzito n sahihi kula
06-02-2023 05:03:10
Kipimo Cha upt mstari wa pili ulikuwa haujakolea je iyo Inaweze kuwa mimba ya mda gn maana nimekutana na wanaume wawil ndan ya huu mwez
13-02-2023 06:26:54
Naumivu ya tumbo kwa meenye mimba ya mwezi mmoja hutokea juu ya kitovu ama chini ya kitovu?
02-04-2023 04:49:34
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee
21-05-2023 13:55:37
Je! Mimba ya week moja inaweza kuonekan kwa kutumia kipimo
15-03-2023 08:49:59
Samahan naomba kuuliza mimi huwa kabla ya hedhi napata maumivu ya tumbo maumivu hayo yanaweza kuwa ya siku moja Ila siku ambayo hedhi itatoka napata maumivu makali mno na maumivu hayo yatadumu Hadi hedhi ikate na inapelekea mguu wa kushoto kuwa kama unakufa gannzi.naomba nisaidie ni nini hiki?
21-04-2023 05:01:59
Nataka kujua kuhusu fangasi
07-02-2023 06:09:57
Mimi naitwa samson.Nilikuwa nakuomba unisaidie kazi za vitamin zote, a b,c d e k
16-02-2023 17:08:19
Hello nina tatizo usiku sifurahiii usingiz coz najaliwa na matee mengi
24-04-2023 14:02:46
Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi
15-02-2023 17:04:47
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
18-02-2023 12:19:42
Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv
16-02-2023 18:21:21
Mambo Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?
16-03-2023 07:31:37
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
26-02-2023 09:47:33
Je? Ikiwa n ujauzito matone ya dam hutoka kwa siku ngap?
10-02-2023 16:40:22
Jamn samahan......nataka kujuaa kuwaa kutoa mimbaa na majani ya chai n kwel ???
09-04-2023 04:52:03
utajuaje kama ni mimba mtoto wa kiume
11-03-2023 08:27:43
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.
24-01-2023 18:01:21
Mimi ni mwanamke na miaka20 je naweza pata mimba bila kuona ute
23-04-2023 05:28:25
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
16-02-2023 13:22:41
je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi
27-02-2023 17:20:31
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
26-04-2023 06:00:39
Nilingia period tarehe 16 mwezi wa 2 nikashiriki tendo la ndoa 3 je nnawezekano wa kua na mimba maan mpka Sasa sijaingia Tena period
13-03-2023 12:03:46
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
09-03-2023 12:37:28
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
07-03-2023 17:21:25
Mm mimba zangu mbili zote ziliharibika na sasa Nina miezi mitatu najaribu kupata mtoto inashindkkana nn nifanye sababu nataman kuwa mjamzito
31-03-2023 10:28:57
Jee mwanamke anayewashwa kwenye ukee.na yuko wiki ya 37 ni dalili za kujifungua?
20-04-2023 05:33:14
Je, keloids husababishwa na upungufu wa vitamin D na njia ya kutibu au kuondoa keloids Ni zipi
02-02-2023 10:17:58
Nimejifungua Tarehe 21/02/2023 Mtoto Akiwa Kafa Muda Kama Wiki 3 Hivi Na Kazaliwa Haeleweki Ana 200gm Na Sura Hamna Ni Jinsia Tu Na Mimba Yangu Ilikua Ya Miezi 7 Tatizo Linaweza Kua Ni Nini? Na Nikae Muda Gani Niwe Tayali Kupata Ujauzito Tena?
24-02-2023 09:07:36
Je p2 inaweza kushindwa kufanya kazi?
21-05-2023 14:08:46
Kuna mtu anatumia miwani na bado macho yanamuuma,je atumie dawa gani ,au afanye nini ili kuweza kuondoa tatizo hilo?
05-05-2023 05:45:01
Habar dr. ivi nitamjuaje mtu mwenye maambukizi
02-02-2023 12:33:44
Et kupt maumv makal ya tumbo chini ya ktov yanaeza ikawa dalili ya ujauzito,,,afu na kipimo Cha ujauzito kinaanza kusoma kwa muda gan
21-05-2023 14:01:23
Hello Mimi nasumbuliwa Kila nikimaliza tendo uume unauma sana
17-04-2023 13:23:56
Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period
04-02-2023 14:18:39
Mfano kama n wiki ya tatu hii saaa alafu nina vipele kwenye uso na maumivu ya mwili mara moja moja yanatokea maumivu je hio n yenyewe dalili ya ukimwi
18-06-2023 05:17:16
Side effects za kula ukwaju ni zipi..?
26-02-2023 08:43:43
Nina fangasi za mdomoni naomben ushaur yan mdom wang umekos hat muonekano mzur
04-05-2023 12:14:53
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?
15-04-2023 07:18:50
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito
02-03-2023 12:40:11
samahan mie nahisi kiuno kinauma kwa mda kinaacha pamoja na tumbo linakuwa linauma naenda kuharisha ninawiki 34 nasiku2
05-02-2023 05:32:32
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
17-02-2023 08:19:22
Je kuwa namabaka mekund kwenye mdomo ni dalili mojawapo ya ukimwi
26-04-2023 06:05:01
Habari vipi unaweza kupata siku zako na ukawa na ujauzito kwa wiki za mwanzo kabla hata haujafika mwezi
09-03-2023 12:39:44
Habari yako Dr mm ninatatuzo la kuumwa tumbo linaniuma upande wa kushoto linauma Kama linawaka Moto pia Lina he's linaunguruma Sana he nn tatizo?
02-02-2023 18:25:51
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
15-03-2023 08:51:53
Mtuakipata ukimwi atakuwa anajikiaje Yani kiafya kwasikuhio yakwanza
18-02-2023 09:40:52
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina
21-05-2023 13:23:21
habr? ni mazoezi gan yanafaa kwa kupunguza uzito?
24-05-2023 06:22:56
Na wiki 36 ya ujauzito ila nasiku kama tano hivi na halisha na tumbo kuuma je niuchungu
14-04-2023 05:24:52
Mwenye hupungufu wa. Vitamin e. Hujiskiaje
07-03-2023 12:16:13
Niko na ujauzito miez 3 ,nasumbuliwa na fungus sijui italeta madhara Kwa mtoto ,pia nimetumia dawa Sion mabadiliko
16-03-2023 13:36:53
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??
07-02-2023 18:05:01
Kirusi cha vvu kinakaa muda gan kwenye vitu vyenye ncha kali
21-05-2023 13:58:22
Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo
24-03-2023 16:37:30
Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani
27-02-2023 06:12:04
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo
07-03-2023 06:16:02
Kwa mfano MTU umeshiriki naye tendo Leo na kabla ya hapo yy alikuwa anamaambukizi Siku ya pili mkaenda kucheki VIP virus vitaonesha vile vya awali au havitaonesha kabisa
30-01-2023 04:17:01
As salam alaiykum, ni myama gani huyu atakae semezana na watu?
10-02-2023 04:12:46
Samahani naomba kuuliza je kama mwanamke huendi mwenzini ila uteute wa damu ukiwa unana unatoka uwezekano wa kupata mimba upo
07-02-2023 05:45:54
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
03-03-2023 05:06:16
Ukiwa na chunusi uso na mwili kuwasha pia sehemu za siri kuwasha after kukuwa na mtu akipimwa HIV after 6 week's hayo majibu inakuwa sawa ukitimia vipimo full medical check up
29-03-2023 05:33:04
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
03-03-2023 03:46:38
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
30-01-2023 15:54:19
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
10-04-2023 04:10:18
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
26-03-2023 04:19:59
Pilipili hutowa ujauzito
25-03-2023 18:32:43
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
15-02-2023 12:19:17
Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje
19-03-2023 03:17:59
Mwili unapungua sjiskii ham ya kula pia hii unaweza kuwa dariri ya vvu
31-03-2023 08:00:44
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
25-02-2023 04:24:19
Nina wiki mbili hivi nimefanya mapenzi na rafiki ...nina hofu huenda aka ni mgonjwa
07-02-2023 05:35:22
Mkewang anatatiz lakuumiya san tumbo na sehem yasir nazaid tukifanya mapenz napiya anamimba bd changa
06-05-2023 07:31:56
Nini huduma ya kwanza kwa mtu aliye dondoshwa na presha ya kupanda
22-04-2023 08:27:40
Je hizo dalili za HIV za mwanzo zinaweza ziconekan mwakaa mzimaa tangia ile cku ulio toka kubamiana na mtuu
01-02-2023 20:42:32
Habari naomba niulize mtu mweny presha akipewa daw ndo anakunywa miaka yote? Au itakapo kaa sawa anaweza acha dawa nakupunguza chumvi na mafuta
18-06-2023 05:17:44
Habari, ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!
18-02-2023 14:55:41
samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini
06-02-2023 05:01:36
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
26-01-2023 04:52:36