Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tangawizi inakatazwa kwa mwenye vidonda vya tumbo?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 189
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Tatizo langu ni kuchubuka kene kichwa cha uume wangu pindi nmalizapo tendo
Haya misutari anayofanyaaa mama mjamzito yanawezaa kuondokaaa Kwa dawa gani au ndo hayaondokaaa tenaaa
nmeingia cku zangu trh 28 mwezi wa 3 na nkashiriki tendo la ndoa kwanzia cku ya 11 mpaka cku ya 18 lakn nmeona cku zangu tena trh 24 mwezi huu je sina ujauzito
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku?? Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele