Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn
Assalam aleykum! Me nataka kujua jina kamili la mtume HUD (A. S.)
Habari,naomba kuuliza je katika iyo hali ya kuwa na fangasi ukeni halafu ni mjamzito unweza kutumia dawa zakuweka ukeni kama zile tube au vidonge? Au kunanjia gani tofauti yakuzuia iyo muwasho,majimaji machafu?
Je kwamfano nilikuwa kwenye siku zangu nanikafanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi hapo je inakuwaje
ukichanganya majani ya muarobaini, karafuu,na thaumu kisha ukavitwanga inaweza kutibu jino
Jaman naomba kusaidiwa nimekunywa majibu kwà lengo la kutoa mimba changa lakini tumbo linaniuma chini ya kitovu,nimeharisha ,it's mzigo sanaa umetoka ukiwa na rangi ya maziwa na tumbo likiwa linauma ni kama vile nataka kuingia period je mimba umetoka au bado