Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sawa ila mi natakakujua je hivi vipimo vya hospitali za selikali uwonesha majibu mudagani baada ya mutu kuasilika?
Moyo kuuma na kutoka jasho jingi nn shida
Morning... sorry nina swali.. nasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na inapelekea mpka vinafika kooni ... je nitumie dawa dawa gani ili zinisaidie???
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo
Kukojoa damu mwishoni mwa mkojo kunasababishwa na nini ukiachana na kichocho, uti