Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili
Habari mimi nahitaji msaada mama yangu anasumbuliwa natatizo la presha ya kupanda ametumia dawa mwaka wa tatu sasa lakini bado tatizo halipungui
Je kuharisha na kupungua uzito mwilini kunauwezekano ni maambukizi ya virusi baada ya Kufanya ngono bila kinga
Samahan, je mwanamke anaweza kuwa na dalili za mimba za awali kwa maumivu ya kiuno?
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et ila mm sitowi utelevu abapo majimaji yanatoka kwan inawezakuwashida nn et
Niko na40year nasina mtoto lakini wakati watendo ladoa natowa maji.
Naweza faya nn dyo niewach kutowa hayo maji niepate mimba.