Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ukiwa na mimba miez nane na wiki moja au mbil unaweza kujifungua mtoto akiw na kilo ngapi?
Mimi wakati wa usiku na hisi joto Kali na mwili kuchoka na macho kutokuona vizuri wakati wa mchana
Habari zasiku mtaalamu kwanza pole na majukumu Leo nilikuwa na maswali mawili nilitaka kuyafamu mija je dalili za HIV utofautiana kati ya mwanamke na mwanaume?
Mbili je mtu alieasilika katumia wembe kunyolea ila hajajikata kutokwa na damu na akatumia mwingine ambae hajaasilika nae hajajikata je akuwa kaambukizwa?
Hello,mtu anatakiwa kula vyakula gani wakati wa siku za hatari ilikuweza kupata ujauzito.
Habar , samahani nimesoma makala yako ya ugonjwa wa fangasi wa mdomoni na ulimi , kijana wangu namwona anamadoa mekundu kwenye ulimi kama vibalango lakini vidonda hivyo haviumi, dalili hii sikuiona kwenye baadhi ya dalili ukizozitaja, hii nayo ikoje
Na juz jmne nilitok km tui .na Leo yalikuwa mepesi kulik y juzi. Na kiuno mda mwengn kinauma.naomba msada