Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina mimba afu natokwa na damu na kiuno kinauma sana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1212
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
Jemapigo ya moyo kwa mimba changa yanaweza kubadilika ndani ya wiki moja
Habar Dr. Mimi ninaujauzto wa wiki16 ndo wa kwanza lkn nahis kichezo tumboni unaweza nijuza hili
Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda
Jinsia ya kiume na umri wa 24. Je mwanamke akivusha siku zake mpaka miezi miwili baada ya hedhi nikikutana nae tufanye siku ya60 baada ya kupata hedhi. Je anaweza pata ujauzito nikikutana nae?
Naumwaa tumbo Leo siku ya nne na mdomo ni mchungu na mkojo wa njano je inaweza kuwa dalili ya mimba