Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ulimi Ume meguka meguka Kam kuliwa liwa iv nini tatizo?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 450
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwa kawaida naingia hedhi siku nne ya tano nakuwa namalizia sasa ivi kalibuni nimeingia TU ijumaa juma mos juma pil DAMU ikakata naomba kujua shida ni nini?
Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?
Samahani doctar naomba nijue matimiz ya hivi vya MICROLUT vidonge vya uzazi wa mpango