Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, unaweza kupata mimba ukiwa haupo kwenye cku za hatari?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 911
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?
Baada ya kula naweza kula tunda?