UTARATIBU WA KUWASILIANA NASI

Kama upo tayari kuwasiliana nasi kwanza download app yetu ya bongoclass. Bofya hapa ku download kisha baada ya kuifunguwa kwenye menyu kwa juu upande wa kulia bofya palipoandikwa ULIZA kwa mandishi meupe. Hapo utapelekwa kwenye ukurasa wa kujisajii kisha utaendeea na maelezo hayo hapo chini




  1. Kwanza utatakiwa kujisajili
  2. Katika kujisajili utahitajikakuweka jina, email na neno la siri au password
  3. Kama huna email ama umeisahau usijaze kitu, wacha kama palivyo.
  4. Wea jina moja tu na usiwache nafasi. Kama utaambwa mtumaj huyo yupo tafuta jina lingine. Unaweza kutumia jina lolote hata kama ni la kitu, mnyama ama chakula
  5. Baada ya kujisajili utapelekwa kwenye ukurasa wa ku log in, hapo utaingiza jina uliojisajilia pamoja na neno la siri
  6. Baada ya hapo kuta taarifa utajaza kama namba ya simu na unapoishi. hizi siolazima unaweza kubofya palipoandika nitajaza baadaye



  7. JINSI YA KUULIZA SWALI

  8. Baada ya ku login bofya palipoandikwa uliza na hapo utapelekwa kwenye uwanja wa kuuliza. Baada ya kuuliza utaweza kujibiwa ndani ya dakika 5 hata hivyo upo uwezekano wa kuchelewa zaidi kujibiwa, maswali yanayoulizwa usiku kwa saa za afrika mashariki yanaweza kuchelewa kujibwa.


<

Kama upo tayari kuwasiliana nasi kwanza download app yetu ya bongoclass. Bofya hapa ku download kisha baada ya kuifunguwa kwenye menyu kwa juu upande wa kulia bofya palipoandikwa ULIZA kwa mandishi meupe. Hapo utapelekwa kwenye ukurasa wa kujisajii kisha utaendeea na maelezo hayo hapo juu