Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 740
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Je, dawa ya kuongeza damu kwa wajawazito Raferon iko na side effects?
Kwaiyo milija ya uzaz ukiwa umeziba unatibiwa vip unapatiwa daw amaa
Naomba kuuliza me niliweza kulala na mwanamke baada ya wiki tatu nikaambiwa kuwa amethilika nilipoenda kupima nakakutwa sina maambukizi na mwezi wa tatu tena nikapima sikukutwa na maambukizi swali langu je naweza kuwa na maambukizi ama sikupata maradhi siku nilipo lala nae??
Kwahyo viupele vya rangi nyeupe na rangi ya dhambalau haiwez kuwa dalili ya ukimwi?