Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Zabibu inasaidia kuondoa michirizi na chunusi mwilini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1086
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As-alaykum. Naomba list ya watu ambao mwanamke haruhusiwi kufanyanao miamala kama ya kugusana au kukaliana pamoja au kukaa pekeyao nk Au list ya watu anaoruhusiwa kugusana nao tu.
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
Nlikuwa nasikia uchungu side ya left 4one month then hio uchungu ikahama ikakam pande ya right,sasa imeama tena iko hapa chini kutoka jana iko hapa chini uchungu mwingi sana,nn inawza kuwa na shida, please help me
Maganda ya topetope nayo yanafaida gani na mbegu sake je naweza kusaga juice bila kutoa mbegu na makanda yake
Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?
Nina miaka ishirin na nne na nijinsia ya kike, nilikuwa na swali kuwa nitatumia dawa ipi kuzuia fangasi ambayo imeleta vidonda ndan ya uke? Maana nikijisafisha naona had damu