SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #205 06-02-2023 14:10:13

<p>Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz</p>

JIBU

Huwezi pata mimba,  kwani hizo ni siku salama. Yai bado halipo tayari kurutubishwa kuwa mimba. Na pia mwili haujajiandaa kwa kubeba mimba. 

MASWALI YANAYOFANANA