Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz
Huwezi pata mimba, kwani hizo ni siku salama. Yai bado halipo tayari kurutubishwa kuwa mimba. Na pia mwili haujajiandaa kwa kubeba mimba.