SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #205 06-02-2023 14:10:13
Question Icon

Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz

JIBU

Huwezi pata mimba,  kwani hizo ni siku salama. Yai bado halipo tayari kurutubishwa kuwa mimba. Na pia mwili haujajiandaa kwa kubeba mimba. 

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi