Pata jibu kamili kuhusu swali lako
MAumivu makali chini ya tumbo baada ya tendo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 114
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliz ety ukifanya tendo siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba
Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???
Je kuharisha na kupungua uzito mwilini kunauwezekano ni maambukizi ya virusi baada ya Kufanya ngono bila kinga
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito
Na mikojo kubadilika rangi kua yellow inauwezekano ikawa ni mimba au la?
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka