Pata jibu kamili kuhusu swali lako
MAumivu makali chini ya tumbo baada ya tendo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 114
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mm mulishawai kuumwa uti na kupatiwa tiba Ila kwa Sasa Kama sijanywa maji ya kutosha huwa inaniludia na nimechomwa sindano Mara mbili ila nikitibiwa huchukua mwezi harafu inaniludia .je, unanishauri nn Dr.
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
Mimi nililala na Mwanamke mwenye ameathirika niko na wiki mbili saii je nitasaidika kweli
Je nisahihi mtu mwenye vidonda cya tumbo kula mboga za majani
Je unaweza pima Vvu siku ya 30 Toka umejamian na husiyemwamin na kipimo kisitoe majib sahihi?
vifaa vinavyotumika kumsafisha mwanamke sehemu za siri