Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Shinikizo la damu ni nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Kupata vichomi nazo ni dalili za ujauzito na hizo homon zasababishwa na nin kubadilika
Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor
Doctor kama mimba imetoka na niyakwanz unaweza beba mimba tena ndani ya mwezi mmoja mana sina panaponiuma