Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Shinikizo la damu ni nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?