Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Shinikizo la damu ni nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nimetembea na mtu mwenye ukimwi zaidi ya mara 15,,, afu nigundua karbuni ,,,nishatembea nae,, mwishoe nimejikuta kunavipele yamenipata vidogovidogo vimejikusanya kama vile niugua na moto vinatoa maji je inaweza kuwa ndo dalili ya kuwa nimeambukizwa
sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan
Hello,mtu anatakiwa kula vyakula gani wakati wa siku za hatari ilikuweza kupata ujauzito.
Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor
Samahan mm napata maumivu baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto