Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Shinikizo la damu ni nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Na juz jmne nilitok km tui .na Leo yalikuwa mepesi kulik y juzi. Na kiuno mda mwengn kinauma.naomba msada
Swali langu ni nimepata changamoto ya jicho. Nilijipiga na mnati kwenye jicho na jicho limekuwa jekundu
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje