Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Shinikizo la damu ni nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilikuwa nataka kuuliza kwamba iv ukimwi unaonekana baada ya mda gani ukitaka kupima
Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Mbona baadhi husema Kuna aina ya vyakuka hawaruhusiwi Kwa wenye group tofautitofaut!?
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?