SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #543 27-02-2023 17:20:31

<p>je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi</p>

JIBU

Dalili za ukimwi haziwezi kutoweka mpaka pale mgonjwa atakapoanza matibabu na afya yake kurudi sawa. 

Ama dalili za HIV hutokea kati ya wiki ya pili mpaka ya sita toka kuambukizwa,  na baada ya hapo zinatoweka.

MASWALI YANAYOFANANA