Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, malaria husababishwa na nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako
Hv ukiwa unatumia dawa ya salbuta inaweza sababisha milio sikioni
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Mm nililamba uchi wa mwanamke na ikanitokea mdomo kuwa Meusi na kupasuka pembeni mwa mdomo
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Habari ndugu nina mtoto wa miezi5 ana tatizo la kukoroma lina miezi miwili sas kapatiwa tiba ila bado ana koroma tu dawa alizo tumia ndo Izo ila tatizo liko pale pale