Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, malaria husababishwa na nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
Habari,Je mtu anaweza kufika hatua ya tatu ya ukimwi bila kuonesha au kupitia hatua ya kwanza au ya pili au zote kwa pamoja?
Dalili ya kujua kuwa leo ni ovulation
Napata maumivu chini ya tumbo la kushoto maumivu hayo yanaenda korodani la kushoto
Mim na mume wangu tulienda kupima ospitar turi kutwa na ugogwa wa UTI tuli pewa dawa lakini tuka mariza dozi leo ule ungwa ume rudi tena lakin ana twako na ute kama usaa pia ana washwa jee tatizo nini?