Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, malaria husababishwa na nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm natokwa na uchafu mweupe mzito nasijisi km Nina mimba shida itakuwa Nini daktari
Habari zenu ,ninao maswali mngi sana kuhusu ukimwi ,sawali la kwanza ukimwi kuweza kuonekana kwenye kipimo baada ya kuathirika inachukua mda gani jee haiezi kuonekana baada ya miezi miwili?
Swal Lang mm tumbo linakuw kubwa ,linauma ninahs kichefuchef lkn sitapik ,kinyes kinakiw na utelez na kutokw na dam baad ya kumlz kujisaidia ,na pia nikimlz kujisaidia nikam kweny haj kubw naanza kuhs km kun vit vinatembea .je haw watakuw ni minyoo ain gan na daw gan nitumie ili niweze Pon kwa harak,umri miak 26 jinsia kike
Hi,Kwa nini chuchu zangu ziko na uchungu Na zinatoka damu
Habari dr Ikiwa mimba iliharibika ukakaa kama wiki mbili ukakutana na mwenzako ukasex na ukatumia p2 ndani ya masaa4 kuna uwezakano wa kupata mimba
Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?