Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je, malaria husababishwa na nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk
Habari Je maumivu makali ya nyonga ni dalili ya awali ya uchungu?
Mambo Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Nimetumia dawa mefloquine Leo siku ya 5 naona mwili unapata joto nakichwa kuuma.nn sababu