Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 83
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani doctar naomba nijue matimiz ya hivi vya MICROLUT vidonge vya uzazi wa mpango
Nauliza hivi umefanya mapendi na msichani Bada ya miezi mitatu upo negative miezi Tano au SITA bado upo saw negative inakuaje hapo
Naumivu ya tumbo kwa meenye mimba ya mwezi mmoja hutokea juu ya kitovu ama chini ya kitovu?
Nahisi kichefchef na period sijaingia miez3 mpk sass nachoka San tatiz nin
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia