Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 83
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nasikia dalili ya kuumwa Tumbo Kwa chini upande kushito, mäumivu yanafika mpaka nyingani
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye tatizo la gonorea anapaswa kutumia dawa gani endapo tatizo lake lina kama mwaka mzima
Samahan nilikuwa nauliza uti ikikupata huwa na vipele vdogo vidgo vitatoka aman man mi vimenitoka afu kunawasha siyo Sana lakin
samahani dokta nimeenda hospitali nikapewa dawa za UTI zinaitwa CIPROFLOXACI arafu ninaujauzito kama wamwezi je haziwezi kunizuru
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
mimi naona navidonda vya tumbo ila mbna mwili unaniwasha na kutoka vipele mwilin pamoja na mugongo kuuma naomb msada wako