Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 83
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani kwausumbufu mim sijaziona siku zangu ila kama nikipata sehemzangu naona kama kuna kivimbe kwandani upande wa kulia siku za nyuma hakukuwepo sasa sijajua ninini
Je? Unaweza kupata ujauzito pindi umejamiana ukiwa siku salama. Kabla ya sku tatu kupata hedhi?
Je presha usababisha kuko joa mara kwa mara
Kama mayai yapo machache hayakomai uwezo wa kubeba mimba utakuwepo au
Ukiwa na mimba miez nane na wiki moja au mbil unaweza kujifungua mtoto akiw na kilo ngapi?
Nsikia upande wangu wa kushoto kwenye kifua kunawaka moto Sana?