Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1008
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za jioni mm Nina hali ambayo siilewi ninachoka muda mrefu na mapigo ya moyo yanaenda mbio yaani hata nikitembea umbali kidogo tu hoi
Hbr ndugu zangu me Nikimara exprose na nikapewa pep nimetumia mwezi mzima na nimepimwa sina shida ila bado bina wasiwasi sana yangu nimalize dawa leo siku ya pil
Mzazi wangu anaumwa na miguu magoti hana uteute
Nahitaji tiba ya magoti yaliyo kauka uteute
Tarehe 25 mwezi uliopita hedhi yangu ilianza na siku ya tatu nikafanya tendo LA ndoa sasa inaeza kua nilipata ujauzito hau LA kwa sababu naumwa na mgongo na pia matiti zinauma na matiti zenyewe zimebadilika , sasa Jana nikaenda hoc nikapimwa nikaambiwa Sina ujauzito ,sasa tafadhali naomba mnisaidie
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???