Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwa namabaka mekund kwenye mdomo ni dalili mojawapo ya ukimwi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1149
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninammba ila damu inatoka unanisaidiej
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
naombaa kuuliza swali minyoo inapokuwa mingi zaidi haiwezi kuhusika na upungufu wa nguvu za kiume?
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??
Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele Vile vidonda vinatoka kama unakinga mwili wanasema homa inatoka
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t