Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mtuakipata ukimwi atakuwa anajikiaje Yani kiafya kwasikuhio yakwanza
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 380
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
samahani dokta nimeenda hospitali nikapewa dawa za UTI zinaitwa CIPROFLOXACI arafu ninaujauzito kama wamwezi je haziwezi kunizuru
Habari ndugu nina mtoto wa miezi5 ana tatizo la kukoroma lina miezi miwili sas kapatiwa tiba ila bado ana koroma tu dawa alizo tumia ndo Izo ila tatizo liko pale pale
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.