Pata jibu kamili kuhusu swali lako
samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 186
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
habar nilikua naulize mm mzunguuko wangu mfupi je 25 nilipata pld tareh 27 nika maliza tareh30 nikashiliki tendo tareh 6 ss sijielew mpaka ssiv na mda wakuona pld umepita ila leo nimeona pld ila nyepes alafu ndogo je nnaweza kua namimba mana naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili wangu umechoka
Nina umri wa miaka 23 ni msichana mm naomb msaada nilisex baada ya kusex nikakaa kama siku mbili nikaingia period xiku 4 nikatoka nikakaa kama xiku 4 nikasex tena je naeza kupata naeweza kupata mimba
Niko na shida nikimaliza sector ya mapenzi na mkee wangu kuna unyevunyevu kwa sehemu yangu ya Siri na mwashowasho kiasi ndani ndani inaweza kua ni shida gani
Hello ukiwa umelala na mtu alafu condom ikapasuka gafla ukatoa apo kwa apo je unaeza athirika na ugonjwa
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi