SWALI

Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi

Swali No. 446




JIBU

Kutokwa na vipele ni dalili ya mashambulizi ya bakteria. Tofauti na kutumia dawa za fangasi za kupaka ulitakiwa kutumia antibiotics kwa ajili ya kupambana na bakteria. 

 

Jambo la kufanya onana na daktari akufanyie uchunguzi tofauti na kwenda duka la dawa. 



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 22-02-2023-09:30:02 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA