SWALI
Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi
Swali No. 446
JIBU
Kutokwa na vipele ni dalili ya mashambulizi ya bakteria. Tofauti na kutumia dawa za fangasi za kupaka ulitakiwa kutumia antibiotics kwa ajili ya kupambana na bakteria.
Jambo la kufanya onana na daktari akufanyie uchunguzi tofauti na kwenda duka la dawa.
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 22-02-2023-09:30:02 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp